TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile
TPA_Official Page

@tanzaniaportshq

Official Twitter Account for Tanzania Ports Authority (TPA) which regulates and licenses port, marine services and port facilities. Free Number 0800-110032/47.

ID: 3253403617

linkhttp://www.ports.go.tz calendar_today23-06-2015 06:12:30

762 Tweet

43,43K Takipçi

72 Takip Edilen

TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala na Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya TPA, Bw. Gabriel Mwita akipima afya yake kama sehemu ya kuhamasisha Wafanyakazi na Wanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Bandari Mkoani Morogoro kupima afya zao.

Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala na Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya TPA, Bw. Gabriel Mwita akipima afya yake kama sehemu ya kuhamasisha Wafanyakazi na Wanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Bandari Mkoani Morogoro kupima afya zao.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge (kushoto) akiongozana na Mkurugenzi wa Huduma za Ulinzi wa TPA, Bw. Novatus Mpanda (kulia) kuelekea ukumbi wa hoteli ya Njuweni kufungua semina ya Ulinzi na Usalama wa Mizigo inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani,  Mhe. Abubakar Kunenge (kushoto) akiongozana na Mkurugenzi wa Huduma za Ulinzi wa TPA, Bw. Novatus Mpanda (kulia) kuelekea ukumbi wa hoteli ya Njuweni kufungua semina ya Ulinzi na Usalama wa Mizigo inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Mariam Mtunguja (kulia) akiongozwa na Mkurugenzi wa Huduma Ulinzi wa TPA, Bw. Novatus Mpanda kuelekea ukumbini kufungua semina ya masuala ya Ulinzi na Usalama wa Mizigo inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro,  Mhe. Mariam Mtunguja (kulia) akiongozwa na Mkurugenzi wa Huduma Ulinzi wa TPA, Bw. Novatus Mpanda kuelekea ukumbini kufungua semina ya masuala ya Ulinzi na Usalama wa Mizigo inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Michezo ya Bandari kuhitimishwa kesho Septemba 20 katika Uwanja wa Jamhuri. Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na michezo hiyo iliyoendelea leo Mkoani Morogoro.

Michezo ya Bandari kuhitimishwa kesho Septemba 20 katika Uwanja wa Jamhuri. Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na michezo hiyo iliyoendelea leo Mkoani Morogoro.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Bandari ya Dar Es Salaam imeibuka Mshindi wa Jumla wa Michezo ya Inter-Ports 2021 iliyohitimishwa leo Morogoro. Mgeni Rasmi katika ufungaji wa Michezo hii alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar, Ndugu Nahaat Mohammed Mahfoudh.

Bandari ya Dar Es Salaam imeibuka Mshindi wa Jumla wa Michezo ya Inter-Ports 2021 iliyohitimishwa leo Morogoro. Mgeni Rasmi katika ufungaji wa Michezo hii alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar, Ndugu Nahaat Mohammed Mahfoudh.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ndg. Eric Hamissi, leo amefanya mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Pradhan yaliyolenga kudumisha mahusiano kati ya Bandari za Tanzania na Kampuni zinazoleta shehena ya mizigo inayoenda au kutoka India kupitia Bandari za Tanzania.

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ndg. Eric Hamissi, leo amefanya mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Pradhan yaliyolenga kudumisha mahusiano kati ya Bandari za Tanzania na Kampuni zinazoleta shehena ya mizigo inayoenda au kutoka India kupitia Bandari za Tanzania.
Binaya Pradhan (@binaysrikant76) 's Twitter Profile Photo

Had a productive meeting with Director General,Tanzania Ports Authority Mr Eric Benedict Hassimi TPA_Official Page ;conveyed interest of Indian companies to work in existing & new ports in #Tanzania #IndiaTanzania Dr. S. Jaishankar V. Muraleedharan V. Muraleedharan Invest India

Had a productive meeting with Director General,Tanzania Ports Authority Mr Eric Benedict Hassimi <a href="/tanzaniaportshq/">TPA_Official Page</a> ;conveyed interest of Indian companies to work in existing &amp; new ports in #Tanzania #IndiaTanzania <a href="/DrSJaishankar/">Dr. S. Jaishankar</a> <a href="/MOS_MEA/">V. Muraleedharan</a> <a href="/MOS_MEA/">V. Muraleedharan</a> <a href="/investindia/">Invest India</a>
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Timu ya Netiboli ya TPA imeendelea kugawa “dozi” kwa kuifunga timu ya Ngorongoro kwa alama 34-11. TPA imepata ushindi wa tatu mfululizo kwa kushinda mechi yake ya tatu tangu kuanza kwa mashindano ya SHIMMUTA yanayoendelea mjini Morogoro.

Timu ya Netiboli ya TPA imeendelea kugawa “dozi” kwa kuifunga timu ya Ngorongoro kwa alama 34-11. TPA imepata ushindi wa tatu mfululizo kwa kushinda mechi yake ya tatu tangu kuanza kwa mashindano ya SHIMMUTA yanayoendelea mjini Morogoro.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mbali na kushiriki michezo ya SHIMMUTA 2021, TPA imetumia fursa ya Michezo hiyo kwa kuweka banda maalumu katika uwanja wa Jamhuri kwa ajili ya kutoa elimu kwa Wanamichezo na Wakazi wa Mkoa wa Morogoro kuhusiana na maboresho ya huduma za Bandari.

Mbali na kushiriki michezo ya SHIMMUTA 2021, TPA imetumia fursa ya Michezo hiyo kwa kuweka banda maalumu katika uwanja wa Jamhuri kwa ajili ya kutoa elimu kwa Wanamichezo na Wakazi wa Mkoa wa Morogoro kuhusiana na maboresho ya huduma za Bandari.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Timu ya TPA ya mchezo wa Basketiboli (Wanaume) imeifunga timu ya Chuo cha Mzumbe kwa alama 119-6 katika michezo ya SHIMMUTA inayoendelea mjini Morogoro. Wakati huo huo timu ya Wanawake ya mchezo huo wa basketiboli nayo imeifunga TPDC kwa alama 30-8.

Timu ya TPA ya mchezo wa Basketiboli (Wanaume) imeifunga timu ya Chuo cha Mzumbe kwa alama 119-6 katika michezo ya SHIMMUTA inayoendelea mjini Morogoro. Wakati huo huo timu ya Wanawake ya mchezo huo wa basketiboli nayo imeifunga TPDC kwa alama 30-8.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw Eric Hamissi na mwenzake wa TASAC, Bw Kaimu Mkeyenge wakiwa pamoja na wadau wa Bandari walipotembelea mpaka wa Kasumbalesa unaotenganisha Nchi za Zambia na DRC. Kasumbalesa ni kati ya mipaka inayopitisha magari na shehena ya DRC kutoka Bandari ya DSM.

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw Eric Hamissi na mwenzake wa TASAC, Bw Kaimu Mkeyenge wakiwa pamoja na wadau wa Bandari walipotembelea mpaka wa Kasumbalesa unaotenganisha Nchi za Zambia na DRC. Kasumbalesa ni kati ya mipaka inayopitisha magari na shehena ya DRC kutoka Bandari ya DSM.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Adv. Albert Msando leo ametembelea Banda la TPA lililopo uwanja wa Jamhuri wakati wa kuhitimisha michezo ya SHIMMUTA. Katika picha ni mchezo wa Fainali ya Netiboli ambao unachezwa kuhitimisha michezo ambapo TPA inacheza na timu ya UDSM.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Adv. Albert Msando leo ametembelea Banda la TPA lililopo uwanja wa Jamhuri wakati wa kuhitimisha michezo ya SHIMMUTA. Katika picha ni mchezo wa Fainali ya Netiboli ambao unachezwa kuhitimisha michezo ambapo TPA inacheza na timu ya UDSM.
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

TPA imetangazwa kuwa Bingwa wa Jumla wa Michezo ya SHIMMUTA kwa mwaka 2021 iliyofanyika Morogoro. TPA imenyakua ushindi huo mara baada ya kufanya vizuri na kukusanya vikombe vingi katika michezo mbalimbali.@WizarayaUJnaUC Eric B. Hamissi

TPA imetangazwa kuwa Bingwa wa Jumla wa Michezo ya SHIMMUTA kwa mwaka 2021 iliyofanyika Morogoro. TPA imenyakua ushindi huo mara baada ya kufanya vizuri na kukusanya vikombe vingi katika michezo mbalimbali.@WizarayaUJnaUC <a href="/EricHamissi/">Eric B. Hamissi</a>
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Timu ya Kamba ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imecheza mchezo wa kirafiki wa kuvuta Kamba na wachezaji wa TPA ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Timu hiyo ya Bunge kwenye kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Eric B. Hamissi

Timu ya Kamba ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imecheza mchezo wa kirafiki wa kuvuta Kamba na wachezaji wa TPA ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Timu hiyo ya Bunge kwenye kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.<a href="/EricHamissi/">Eric B. Hamissi</a>
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Eric Hamissi amekabidhiwa na Wanamichezo wa TPA Kombe la Ushindi wa Jumla la Michezo ya SHIMMUTA 2021 mara baada ya TPA kuibuka mabingwa wa jumla wa Michezo hiyo iliyomalizika mjini Morogoro hivi karibuni.Eric B. Hamissi Samia Suluhu @WizarayaUJnaUC

Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Eric Hamissi amekabidhiwa na Wanamichezo wa TPA Kombe la Ushindi wa Jumla la Michezo ya SHIMMUTA 2021 mara baada ya TPA kuibuka mabingwa wa jumla wa Michezo hiyo iliyomalizika mjini Morogoro hivi karibuni.<a href="/EricHamissi/">Eric B. Hamissi</a> <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> @WizarayaUJnaUC
TPA_Official Page (@tanzaniaportshq) 's Twitter Profile Photo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi matumizi Gati namba Sifuri hadi Saba yaliyoboreshwa kupitia Mradi wa DMGP. Hafla imefanyika katika Bandari ya DSM Disemba 04,2021. Samia Suluhu Eric B. Hamissi @WizarayaUJnaUC Msemaji Mkuu wa Serikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi matumizi Gati namba Sifuri hadi Saba yaliyoboreshwa kupitia Mradi wa DMGP. Hafla imefanyika katika Bandari ya DSM Disemba 04,2021. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> <a href="/EricHamissi/">Eric B. Hamissi</a> @WizarayaUJnaUC <a href="/TZMsemajiMkuu/">Msemaji Mkuu wa Serikali</a>