Kumbuka kwamba wewe kama mjasiriamali, silaha yako kubwa ni uvumilivu na kuthubutu; pasipo kukata tamaa.
Biashara ni mchakato, lazima uwe mvumilivu na uende; hatua kwa hatua bila kutaka njia za mkato.
#1MinutewithMO #MoBusiness #Africa
Mdada mrembo mbunifu wa uje nzi
Mdada Creative Decor ๐๐๏ธ๐จ๐ช ndani ya Jukwaa la #ElimikaWikiendi tuje tujifunze juu ya Soko la biashara na kazi za mtandaoni