Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. milioni 1 na Yanga ikitozwa faini ya Sh. milioni 5 kwa kosa la kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango isiyo rasmi katika mchezo wa Dery ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba uliochezwa Aprili 20, 2024.

Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. milioni 1 na Yanga ikitozwa faini ya Sh. milioni 5 kwa kosa la kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango isiyo rasmi katika mchezo wa Dery ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba uliochezwa Aprili 20, 2024.

#WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Mchezaji Clatous Chama wa klabu ya Simba amefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji Nickson Kibabage wa klabu ya Yanga wakati mchezo wa Derby Kati ya Yanga dhidi ya Simba, uliopigwa Aprili 20, 2024.

Mchezaji Clatous Chama wa klabu ya Simba amefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji Nickson Kibabage wa klabu ya Yanga wakati mchezo wa Derby Kati ya Yanga dhidi ya Simba, uliopigwa Aprili 20, 2024.

#WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Eng. Hersi Said - Kiongozi Yanga Sc
Murtaza Mangungu - Kiongozi Simba Sc
Yusuf Bakhresa - Kiongozi Azam Fc

Ni nani utendaji wake unakukosha unatamani angekuwa kiongozi kwenye timu yako pendwa, tuambie kupitia comment yako hapo chini 👇🏼

✍🏽 𝐿𝓊𝓁𝓊

Eng. Hersi Said - Kiongozi Yanga Sc
Murtaza Mangungu - Kiongozi Simba Sc
Yusuf Bakhresa  - Kiongozi Azam Fc 

Ni nani utendaji wake unakukosha unatamani angekuwa kiongozi kwenye timu yako pendwa, tuambie kupitia comment yako hapo chini 👇🏼

✍🏽 @bintiiringo

#WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Mchezaji Lameck Lawi, wa Coastal Union amefutiwa kadi nyekundu aliyoonyeshwa na mwamuzi wa mchezo kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union baada ya kuthibitika kuwa mwamuzi wa kati pamoja na mwamuzi msaidizi namba mbili wa mchezo huo walishindwa kutafsiri vema Sheria.

Mchezaji Lameck Lawi, wa Coastal Union amefutiwa kadi nyekundu aliyoonyeshwa na mwamuzi wa mchezo kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union baada ya kuthibitika kuwa mwamuzi wa kati pamoja na mwamuzi msaidizi namba mbili wa mchezo huo walishindwa kutafsiri vema Sheria.

#WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Ihefu imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baada kumuondosha Mashujaa kwa idadi ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya 0-0.

Ihefu imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baada kumuondosha Mashujaa kwa idadi ya penati 4-3 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya 0-0.

#WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Mashujaa imetowa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kufanya vitendo vinavyashiria imani za kishirikina kwenye uwanja wa Azam Complex wakati wakifanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla mchezo huo…instagram.com/p/C6bmTyMscHf/…

Klabu ya Mashujaa imetowa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kufanya vitendo vinavyashiria imani za kishirikina kwenye uwanja wa Azam Complex wakati wakifanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla mchezo huo…instagram.com/p/C6bmTyMscHf/…

#WasafiSports
account_circle