⌛:FT
Mchezo umemalizika hapa kila mtu ameona
Tunajiandaa kwa ajili ya Hatua iliyopo mbele yetu
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
⏳:HT
Mpira ni mapumziko mpinzani wetu akiwa hoe hae yaani hali mbaya kabisa hivyo kipindi cha pili tunakuja kumaliza kazi💪
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Siku nyingine tena ya kupata burudani katika uwanja wa Mkapa🏟️ kutoka kwa JKT Tanzania 🇹🇿 imefika.
Siku ya leo tunataka kufunga msimu kwa ushindi hatupokei maelezo yoyote yale
Ukiona Simba mjini ujue anafugwa huyo😅 hawezi kung'ata
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Siku nyingine tena ya kupata burudani katika uwanja wa Mkapa🏟️ kutoka kwa JKT Tanzania 🇹🇿 imefika.
Siku ya leo tunataka kufunga msimu kwa ushindi hatupokei maelezo yoyote yale
Ukiona Simba mjini ujue anafugwa huyo😅 hawezi kung'ata
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
⏳:HT
Mpira ni mapumziko mpinzani wetu akiwa hoe hae yaani hali mbaya kabisa hivyo kipindi cha pili tunakuja kumaliza kazi💪
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
⌛:FT
Mchezo umemalizika hapa kila mtu ameona
Dunia hii haina huruma kabisa
Tunajiandaa kwa ajili ya Hatua iliyopo mbele yetu
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Kwa haya mazoezi ya leo aiseee sioni Simba akipata hata sare😅
Tukutane kesho tukafunge ligi kwa ushindi mnono💪
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Mchezo muhimu sana kwetu dhidi ya Simba tunaenda kufunga msimu kwa surprise kubwa kwa mashabiki wetu.
Tuwaambie tu hii mechi KUNA MKUBWA ATANG'ANG'ANIWA 💪
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Siku nyingine tena ya kupata burudani katika uwanja wa Mkapa🏟️ kutoka kwa JKT Tanzania 🇹🇿 imefika.
Siku ya leo tunataka kufunga msimu kwa ushindi hatupokei maelezo yoyote yale
Ukiona Simba mjini ujue anafugwa huyo😅 hawezi kung'ata
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa mtaalamu wetu katika kitengo cha Habari kwa JKT Tanzania Mtu muhimu sana 'full package'
#lyanga_tito 📷
#HappyBirthdayTito
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
⌛:FT
Mpira umekwisha hapa JKT Tanzania🇹🇿 tukipoteza mchezo wetu leo.
Sio matokeo mazuri kwetu ila tutajipanga vizuri kwa mchezo ujao🙏
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
:HT
Mpira ni mapumziko hapa Azam fc wakiingia kwenye mtego wa kutangulia kwa goli 1 ili kipindi cha pili tuwapige nyingi
Tukutane kipindi cha pili
#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo