sultan bachi (@sultanbachi) 's Twitter Profile
sultan bachi

@sultanbachi

ID: 2301033793

calendar_today20-01-2014 08:35:18

1,1K Tweet

4,4K Followers

1,1K Following

Baba Mwita (@babamwita) 's Twitter Profile Photo

Alichokifanya Lissu leo ni kufichua MADHAIFU ya mahakama, magereza, Ofisi ya Mashtaka ya Taifa & DPP. Tangu Lissu akamatwe ni siku zaidi ya 68 ila Hakimu hakufanya jukumu lake la kisheria kuhakikisha mahabusu anahifadhiwa na kupewa huduma na haki zake za Kikatiba & Sheria.

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Tuna Rais mshenzi na katili kupindukia. Unaweza kumtendea mtanzania mwenzako yote haya kwa sababu tu amedai haki uliyoianiasha kwenye katiba ambayo wewe mwenyewe umeapa kuilinda?🤔🤔 Halafu kuna watu mna balls za kumwita mshenzi kama huyu mama😡😡!

LOCHO (@muandazi) 's Twitter Profile Photo

Kwenye uso wa dunia matukio ya kusikitisha ni mengi Sana Ila Yana utofauti Kila tukio na namna yake ya utokeaji Leo nakuletea ajari 5 za ndege mbaya zaidi kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia Ungana na mimi kwenye uzi huu 👇👇 1. Pan Am Flight 1736 na KLM Flight 4805 – Vifo 583

Kwenye uso wa dunia matukio ya kusikitisha ni mengi Sana Ila Yana utofauti Kila tukio na namna yake ya utokeaji

Leo nakuletea ajari 5 za ndege mbaya zaidi kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia

Ungana na mimi kwenye uzi huu 👇👇

1. Pan Am Flight 1736 na KLM Flight 4805 – Vifo 583
Steph (@ihebojr) 's Twitter Profile Photo

unamkaribisha mwana kwenye mchongo umemtoa kitaa... baadae anakuja kua adui huko huko mchongoni anaungana kukupindua au kukutoa mchezoni.... usione wakati mwingine hatupeani michongo kuna mifano mibaya inakatisha tamaa!

kipepeo (@kipepeotz) 's Twitter Profile Photo

Mwanaume fanya mambo matatu Tafuta hela nunua kiwanja Jenga nyumba yako mwenyewe Miliki pesa Yako halali Maisha mazuri na gari mjini😎

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️NILIWAAMBIAJE?⁉️ Haya niliyoweka jana ndo imekuwa habari! Mzee Rungwe kalazwa kweli KCMC! Sasa narudia kwa wanafamilia wazingatie nilichowaambia - mzee wamlinde sana maana wahamiaji si watu wazuri! Hata mtu kuingia hapo chumbani kwake iwe kwa tahadhari! Kwa taarifa nilizosikia

‼️NILIWAAMBIAJE?⁉️
Haya niliyoweka jana ndo imekuwa habari! Mzee Rungwe kalazwa kweli KCMC! Sasa narudia kwa wanafamilia wazingatie nilichowaambia - mzee wamlinde sana maana wahamiaji si watu wazuri! Hata mtu kuingia hapo chumbani kwake iwe kwa tahadhari! 
Kwa taarifa nilizosikia
kipepeo (@kipepeotz) 's Twitter Profile Photo

Fanya mambo matatu usiku wa Leo 1.soma neno la MUNGU/biblia/Quran tukufu 2.sali sana piga naombi/sala ukimshukuru MUNGU kwa afya na uhai aliokutunuku/kupumua hewa bure bila malipo 3.mkabizi sir God hustle zako aafu toa fungu la kumi la mapato Yako/Dhaka,kaa ukisubiri baraka🙌

Katego ladslaus (@kategoladslaus3) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Makubaliano Yetu,Sisi WanaNchi Wa Ncho Hii Ni Kwamba #NoReformsNoElection Wakati Huu Siyo Wakati Wa Kupepesa Macho,Ni Wakati Wa Kuwambia Ukweli Watawala Makatili Kwamba Wakati Wa Kumuachia Mungu,Mambo, Yanayohusu Nchi Yetu, Umefika Mwisho.. Ni Ama Waondoke Wenyewe Ama Tuwaondoe

Toto la kihaya (@toto_la_kihaya) 's Twitter Profile Photo

Mujini kipenzi Silaha ni shilingi baby Kupendana zamani Ndo wanavyosemaga🎶🎶 Wazuri ni wengi,Ila uongo mwingi baby Wakishaviona vya ndani Basi wanakumwaga🎶🎶🎶

Mujini kipenzi Silaha ni shilingi baby
Kupendana zamani
Ndo wanavyosemaga🎶🎶
Wazuri ni wengi,Ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani
Basi wanakumwaga🎶🎶🎶
BROTHER (@0101dubu) 's Twitter Profile Photo

Njia ya haraka kuufikia utajiri.. Zoea kuwa MBINAFSI, ila kumbuka kutoa sadaka na kuwasaidia wasio na mikono na miguu. (Sentence ya mwisho imebeba maana kuliko maana)

sultan bachi (@sultanbachi) 's Twitter Profile Photo

BUSARA ni kutomuuliza mtu jambo ambalo alikuficha awali. HEKIMA ni kumuonesha alie kuficha kuwa hujui baada ya kujuwa alichokuficha.