stephanolyimo@gmail.com (@stephanolyimo) 's Twitter Profile
[email protected]

@stephanolyimo

CARS BUSINESS

ID: 1557697605806837760

calendar_today11-08-2022 11:57:19

9 Tweet

77 Followers

120 Following

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

*"Kama kumkosoa Rais ni kuonyesha kwamba ameshindwa kushughulikia changamoto ya ajira na utawala wako umeongeza gharama za maisha kama maneno haya yatatafsiriwa ni kumkosea Rais heshima tutamkemea na kumkosoa sawa sawa kwa maslahi mapana ya nchi yetu,"* John Pambalu

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Hapa naomba kueleweka vizuri: Sina tatizo na mbunge akilipwa kiinua mgongo kizuri, lakini awe amekifanyia kazi basi sio kupasha kiti moto tu alafu baada ya miaka 5 unalipwa fedha nyingi na Walimu wetu, Askari wanaotulinda, madkatari na watumishi wengine wa umma wanalipwa vibaya