Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile
Sophia Mjema

@sophiamjema1

ID: 815808225144700934

calendar_today02-01-2017 06:33:32

455 Tweet

11,11K Followers

71 Following

Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi wengine wakati akikata utepe kuzindua Kiwanda cha Vioo cha Sapphire Floating Glass kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani tarehe 20 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi wengine wakati akikata utepe kuzindua Kiwanda cha Vioo cha Sapphire Floating Glass kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani tarehe 20 Septemba, 2023.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu tumefanikiwa kuwa wenyeji wa michuano mikubwa ya soka Afrika (AFCON2027), tukishirikiana na Kenya na Uganda. Nawapongeza nyote mlioshiriki kuhakikisha nchi yetu inapata fursa hii adhimu. Nawaagiza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhakikisha

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu tumefanikiwa kuwa wenyeji wa michuano mikubwa ya soka Afrika (AFCON2027), tukishirikiana na Kenya na Uganda. Nawapongeza nyote mlioshiriki kuhakikisha nchi yetu inapata fursa hii adhimu. Nawaagiza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhakikisha
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa (CCM), Ndugu Daniel Godfrey Chongolo , leo Ijumaa, Septemba 29, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Bi Chen Mingjian, aliyeambatana na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba DSM. #KaziIendelee

Katibu Mkuu wa  (CCM), Ndugu <a href="/chongolo_daniel/">Daniel Godfrey Chongolo</a> , leo Ijumaa, Septemba 29, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Bi Chen Mingjian, aliyeambatana na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba DSM.

#KaziIendelee
Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 1 Oktoba, 2023, ameongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kilichofanyika jijini Dar Es Salaam. #CCMImara #TunaImaniNaSamia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 1 Oktoba, 2023, ameongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kilichofanyika jijini Dar Es Salaam.

#CCMImara
#TunaImaniNaSamia
Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile Photo

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Ndugu. Sophia Edward Mjema amewasili Mkoani Songwe tarehe 05 Oktoba 2023 kwa ziara ya kikazinya siku mbili. Sophia Mjema ndio mlezi wa Mkoa Songwe Kichama, akiwa mkoani hapa atazungumza na Viongozi wa Chama pamoja na Wanachama.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM,  Ndugu. Sophia Edward  Mjema amewasili Mkoani Songwe tarehe 05 Oktoba 2023  kwa ziara ya kikazinya siku mbili.

Sophia Mjema ndio mlezi wa Mkoa Songwe Kichama, akiwa mkoani hapa atazungumza na Viongozi wa Chama pamoja na Wanachama.
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiendelea na kazi wakati akiwa safarini kuelekea Mji wa New Delhi nchini India kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023. Mhe. Rais Samia alitumia usafiri wa Ndege ya Shirika la ATCL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiendelea na kazi wakati akiwa safarini kuelekea Mji wa New Delhi nchini India kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023. Mhe. Rais Samia alitumia usafiri wa Ndege ya Shirika la ATCL
Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan #SamiaWaWatanzania🇹🇿 ameshiriki Maadhimisho ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023, Babati Mkoani Manyara #CCMImaraSerikaliImara #TunaendeleaNaMama🇹🇿

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan #SamiaWaWatanzania🇹🇿 ameshiriki Maadhimisho ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023, Babati Mkoani Manyara #CCMImaraSerikaliImara
#TunaendeleaNaMama🇹🇿
Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile Photo

Leo amefungua mafunzo ya Falsafa, Itikadi na Sera za CCM kwa viongozi na watendaji wa Chama na Jumuiya zake katika Mkoa wa Mtwara. Ufunguzi umefanyika katika wilaya ya Mtwara, ikiwa ni utekelezaji wa moja ya maazimio ya Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM Taifa uliofanyika mwaka jana 2022

Leo amefungua mafunzo ya Falsafa, Itikadi na Sera za CCM kwa viongozi na watendaji wa Chama na Jumuiya zake katika Mkoa wa Mtwara. Ufunguzi umefanyika katika wilaya ya Mtwara, ikiwa ni utekelezaji wa moja ya maazimio ya Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM Taifa uliofanyika mwaka jana 2022
Sophia Mjema (@sophiamjema1) 's Twitter Profile Photo

Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan (Samia Suluhu ), kipekeee niweze kumshukuru yeye kwa kuweza kuniamini tena ili niweze kumsaidia katika jukumu la Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.

Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia  Suluhu Hassan (<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> ), kipekeee niweze kumshukuru yeye kwa kuweza kuniamini tena ili niweze kumsaidia katika jukumu la Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo katika kumbukizi ya miaka minne ya Kiapo cha kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuungane pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuibariki nchi yetu, tudumu katika umoja, amani na

Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo katika kumbukizi ya miaka minne ya Kiapo cha kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tuungane pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuibariki nchi yetu, tudumu katika umoja, amani na