
Mtu Makini🇹🇿
@shakumpe
Justice uplifts a Nation | I love my country |
A proponent of diplomacy| A father | A peace-seeker.
ID: 4118565563
http://mtumakini.co.tz 05-11-2015 10:07:32
1,1K Tweet
461 Takipçi
1,1K Takip Edilen



Bishop Bishop Josephat Gwajima PhD amezungumza vitu vya msingi sana leo. Amewaomba wastaafu wazungumze. Amesema anaomba kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe ndani ya siku 10. Amesema Tundu Lissu hastahili kuwepo gerezani. Amesema REFORMS za uchaguzi ni muhimu. Uchaguzi uwe huru. Watu washindane👏


uyu mwamba ni ametokea kipindi muhimu sana, tunahitaji watu kama hawa kipindi hiki. asante askofu gwajima Bishop Josephat Gwajima PhD

Jamaa leo kaitolea uvivu hii serikali bila shaka visukari vimepanda leo😂 Jamii Forums




Kati ya nondo nyingi alizopiga gwajima jana, kipande hiki naona kimetrend sana, na ni kwasababu kina hoja nzito sana na ya msingi inayotugusa watanzania wote, lakini hasa hasa waumini wa haki. msikilize mwamba CLUB Magufuli (---) Onesmo Mushi Maria Sarungi Tsehai









