Shadrack Mtaita (@shadrack_mtaita) 's Twitter Profile
Shadrack Mtaita

@shadrack_mtaita

ID: 1657441789505044480

calendar_today13-05-2023 17:45:43

41 Tweet

29 Takipçi

513 Takip Edilen

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

“Alipotofautiana na uongozi wa awamu iliyopita, na kulazimika kuhama Chama baadae, nilimuuliza sababu zake, alinijibu kuwa, *“Chama changu kimenifukuza. Sijakiacha, kimeniacha. Kwangu kubwa ni kupigania kesho bora ya Watoto wa Taifa hili. Hilo brother siachi. Nimetafuta jukwaa

“Alipotofautiana na uongozi wa awamu iliyopita, na kulazimika kuhama Chama baadae, nilimuuliza sababu zake, alinijibu kuwa, *“Chama changu kimenifukuza. Sijakiacha, kimeniacha. Kwangu kubwa ni kupigania kesho bora ya Watoto wa Taifa hili. Hilo brother siachi. Nimetafuta jukwaa
EastAfricaRadio (@earadiofm) 's Twitter Profile Photo

#HABARI Kufuatia maelekezo aliyoyatoa Rais Samia Suluhu ya kuitaka Wizara ya Mifugo ishirikiane na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kuwawezesha vijana kujiajiri imeanza kutekelezwa baada ya pande hizo mbili kusaini makubaliano ya ushirikiano kuinua sekta za mifugo na uvuvi.

#HABARI Kufuatia maelekezo aliyoyatoa Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> ya kuitaka Wizara ya Mifugo ishirikiane na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kuwawezesha vijana kujiajiri imeanza kutekelezwa baada ya pande hizo mbili kusaini makubaliano ya ushirikiano kuinua sekta za mifugo na uvuvi.
Ideas Adviser 💡🇹🇿 (@mshauriserikali) 's Twitter Profile Photo

TUELEWANE, SHIDA SIO UWEKEZAJI. 1: Shida ni MASHARTI ya Mikataba 2: Shida ni MIAKA ya Mikataba 3: Shida ni UMILIKI Mnaowapa Watanzania HATUJAWAI KUNUFAIKA Na Mikataba Mliyosaini Chama Cha Mapinduzi Ktk Miaka 60 Ya Utawala Wenu LOLIONDO tumefaidika nini zidi ya Kuuwa WAMASAI WETU? 🤷🏾‍♂️

TUELEWANE, SHIDA SIO UWEKEZAJI.

1: Shida ni MASHARTI ya Mikataba
2: Shida ni MIAKA ya Mikataba
3: Shida ni UMILIKI Mnaowapa

Watanzania HATUJAWAI KUNUFAIKA Na Mikataba Mliyosaini <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> Ktk Miaka 60 Ya Utawala Wenu

LOLIONDO tumefaidika nini zidi ya Kuuwa WAMASAI WETU? 🤷🏾‍♂️
Florence (@kalingaflorence) 's Twitter Profile Photo

Kuhusu suala la uongozi Afrika bado tuna safari ndefu sana . Kwanza viongozi wenyewe wanapatikana kwa njia za mashaka af tutegemee uongozi bora sio kweli. Afrika viongozi wanatumia demokrasia kama mwavuli kufanya ubadhirifu wa fedha za umma

Kuhusu suala la uongozi  Afrika bado tuna safari ndefu sana . Kwanza viongozi wenyewe wanapatikana kwa njia za mashaka af tutegemee uongozi bora sio kweli. Afrika  viongozi wanatumia demokrasia kama mwavuli kufanya ubadhirifu wa fedha za umma
Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

Clatous Chama officially says goodbye to Simba. 👋 “I wish you all the best and we will continue seeing each other.” Nguvu Moja. 🦁 #africanfootball

Clatous Chama officially says goodbye to Simba. 👋

“I wish you all the best and we will continue seeing each other.” 

Nguvu Moja. 🦁 

#africanfootball
millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa Club ya Yanga ukiongozwa na Rais wa Yanga Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye Club hiyo kwakuwa Katiba ya Yanga haitambui uwepo wao. Imedaiwa kuwa uamuzi huu wa Mahakama

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa Club ya Yanga ukiongozwa na Rais wa Yanga Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye Club hiyo kwakuwa Katiba ya Yanga haitambui uwepo wao.

Imedaiwa kuwa uamuzi huu wa Mahakama