I'AM SERVANT JOSHUA (@servantjos63424) 's Twitter Profile
I'AM SERVANT JOSHUA

@servantjos63424

RESIDENT PASTOR.,,||

C.E.O NEW GENERATION CONGRAGATION MINISTRY ||
I'M choosen SEER OF GOD🙏||

raise of powerful generation❣️🔥

ID: 1656390821040603139

calendar_today10-05-2023 20:09:03

813 Tweet

416 Takipçi

261 Takip Edilen

Fumbo Khan (@fumbokhanjr) 's Twitter Profile Photo

Kwa pale Yanga feisal bado anaingia first eleven vizuri kabisa, pacome na Mudathir hawafikii ata Robo ya Ubora wake. Sema ni vile Yanga mliamua Kuwa wanyonyaji tuu, Morrison mlikuwa mnampa 23M alafu feisal 4M daah😭😭

Kwa pale Yanga feisal bado anaingia first eleven vizuri kabisa, pacome na Mudathir hawafikii ata Robo ya Ubora wake.

Sema ni vile Yanga mliamua Kuwa wanyonyaji tuu, Morrison mlikuwa mnampa 23M alafu feisal 4M daah😭😭
C H A M P (@mpambazi) 's Twitter Profile Photo

#MangunguAndTryagainOut Kama unaungana na mimi hapo juu weka like na Repost hapa. Alafu reply hashtag hii👆🏿 #NguvuMoja #ComeOnSimba

#MangunguAndTryagainOut

Kama unaungana na mimi hapo juu weka like na Repost hapa. Alafu reply hashtag hii👆🏿

 #NguvuMoja #ComeOnSimba
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

Walevi wa ile bar wanapenda sifa wananambia kuwa kwenye video mpya ya Darasaa "I DON'T CARE" inayotarajiwa kutoka hivi karibuni tegemea kuwaona hawa mastaa walio link up kwenye video hiyo:- Jux Marioo Ben pol Official NAI Djjozee Abbah Jaivah Chino man Sarafina Laptop Used Point💻

Walevi wa ile bar wanapenda sifa wananambia kuwa kwenye video mpya ya Darasaa "I DON'T CARE" inayotarajiwa kutoka hivi karibuni tegemea kuwaona  hawa mastaa walio link up kwenye video hiyo:-
Jux
Marioo
Ben pol
Official NAI
Djjozee
Abbah
Jaivah
Chino man
Sarafina

<a href="/usedpointTz/">Laptop Used Point💻</a>
KIRIKUU✏️ (@kirikuu20) 's Twitter Profile Photo

Repost hii kama utaguswa🙏🏽 Ndugu yetu ,nguvu kazi ya Taifa,kijana mwenzetu. Yuko wapi? Mungu Akulinde mzee popote ulipo urudi salama. AMEN 🙏🏽

Repost hii kama utaguswa🙏🏽
Ndugu yetu ,nguvu kazi ya Taifa,kijana mwenzetu.
Yuko wapi?
Mungu Akulinde mzee popote ulipo urudi salama.
AMEN 🙏🏽
Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Huyu ni Kijana mwenzetu, ana ndoto kama sisi, ana familia kama sisi, ana ndugu kama sisi, kuna watu wanamtegemea kama sisi.... Ana haki ya kuishi kama sisi.... MUNGU endelea kuwa upande wake, tunaamini yupo salama 🙏🏾

Huyu ni Kijana mwenzetu, ana ndoto kama sisi, ana familia kama sisi, ana ndugu kama sisi, kuna watu wanamtegemea kama sisi....

Ana haki ya kuishi kama sisi....

MUNGU endelea kuwa upande wake, tunaamini yupo salama 🙏🏾
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

Siku nyengine tena bila ndugu yetu SATIVA Mama nyumbani analia, ndugu wanalia na marafiki zake wana huzunuka hawamuoni mpendwa wao. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akulinde ndugu yetu huko alipo!

Siku nyengine tena bila ndugu yetu SATIVA

Mama nyumbani analia, ndugu wanalia na marafiki zake wana huzunuka hawamuoni mpendwa wao.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akulinde ndugu yetu huko alipo!
Uebert Angel (@uebertangel) 's Twitter Profile Photo

I’m PRAYING for all of you X users. I decree and I declare a HEDGE of PROTECTION over you and your family! RT this and spread this blessing!

Shaffih  Dauda (@shaffihdauda1) 's Twitter Profile Photo

Kuna 20k hapa, nipe mfungaji wa bao la kwanza na matokeo __!! 👇 England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 🆚 Switzerland 🇨🇭

Kuna 20k hapa, nipe mfungaji wa bao la kwanza na matokeo __!! 👇

England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 🆚 Switzerland 🇨🇭
John kalage 🇹🇿 (@kalage_jr) 's Twitter Profile Photo

Mwanafamilia huyu amenitumia ujumbe, Yupo Tungi, Morogoro. Alipata ajali akawekewa chuma kwenye mguu kama inavyoonekana hapa. Trh 15 inabidi akatolewe hii Chuma Gharama yake ni 470, 000. Anaomba msaada wetu.🙏 Namba yake ya simu 0716410086.

Mwanafamilia huyu amenitumia ujumbe, Yupo Tungi, Morogoro. Alipata ajali akawekewa chuma kwenye mguu kama inavyoonekana hapa.

Trh 15 inabidi akatolewe hii Chuma Gharama yake ni 470, 000. Anaomba msaada wetu.🙏

Namba yake ya simu 0716410086.