Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile
Seedco Tanzania

@seedcotz

SeedCo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa uzalishaji na uuzaji wa mbegu za mahindi na mbogamboga. Mavuno bora huanza na mbegu bora.

ID: 1513424692719276034

linkhttp://www.seedcogroup.com/tz calendar_today11-04-2022 07:53:16

73 Tweet

672 Followers

15 Following

Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile Photo

Makovu Meusi kwenye kitako cha Tunda (Blossom Rot) Ugonjwa huu ni hatari na dalili zake hufanana na zile za mnyauko unaosababishwa na fangasi. Unashauriwa kutumia mbolea zenye madini ya kalsiamu kupunguza tatizo hili mara tu mmea unapoanza kutoa maua.

Makovu Meusi kwenye kitako cha Tunda (Blossom Rot)
Ugonjwa huu ni hatari na dalili zake hufanana na zile za mnyauko unaosababishwa na fangasi.

Unashauriwa kutumia mbolea  zenye  madini ya  kalsiamu kupunguza tatizo hili mara tu mmea unapoanza kutoa maua.