Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile
Seedco Tanzania

@seedcotz

SeedCo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa uzalishaji na uuzaji wa mbegu za mahindi na mbogamboga. Mavuno bora huanza na mbegu bora.

ID: 1513424692719276034

linkhttp://www.seedcogroup.com/tz calendar_today11-04-2022 07:53:16

73 Tweet

672 Takipçi

15 Takip Edilen

Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile Photo

MBEGU YA MUDA MFUPI - Inakomaa kati ya siku 60-75. - Mavuno yake ni wastani wa gunia 18-24 kwa ekari. - Inavumilia magonjwa ya virusi vya milia na madoa ya majani. - Ni chaguo sahihi kwa maeneo makame kama pwani na kanda ya kati. - Ina punje ngumu.

MBEGU YA MUDA MFUPI
- Inakomaa kati ya siku 60-75.
- Mavuno yake ni wastani wa gunia 18-24 kwa ekari.
- Inavumilia magonjwa ya virusi vya milia na madoa ya majani.
- Ni chaguo sahihi kwa maeneo makame kama pwani na kanda ya kati.
- Ina punje ngumu.