Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile
Seedco Tanzania

@seedcotz

SeedCo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa uzalishaji na uuzaji wa mbegu za mahindi na mbogamboga. Mavuno bora huanza na mbegu bora.

ID: 1513424692719276034

linkhttp://www.seedcogroup.com/tz calendar_today11-04-2022 07:53:16

73 Tweet

672 Takipçi

15 Takip Edilen

Seedco Tanzania (@seedcotz) 's Twitter Profile Photo

MKOMBOZI F1 Mbegu bora za mboga mboga kutoka Seed Co -Inaustahimilivu wa magonjwa ya mnyauko na ukame -Uzito wa tunda ni wastani wa gram 150 -Hukomaa ndani ya siku 75 mpaka 80 baada ya kupandikiza - Mavuno kwa ekari ni tani 48 mpaka 55 - Kiasi cha mbegu kwa ekari ni gram 25

MKOMBOZI F1 
Mbegu bora za mboga mboga kutoka Seed Co
-Inaustahimilivu wa magonjwa ya mnyauko na ukame
-Uzito wa tunda ni wastani wa gram 150
-Hukomaa ndani ya siku 75 mpaka 80 baada ya kupandikiza
- Mavuno kwa ekari ni tani 48 mpaka 55
- Kiasi cha mbegu kwa ekari ni gram 25