Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile
Ayoub Abdul Akida

@scotchakida

Politician|ACT Wazalendo

ID: 1677443875

calendar_today17-08-2013 05:30:21

2,2K Tweet

3,3K Followers

4,4K Following

Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Naibu Waziri Kivuli wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ndugu Mkwera MT. amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kibiti lililoko Mkoa wa Pwani kwa tiketi ya ACTWazalendo. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Naibu Waziri Kivuli wa Mambo Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ndugu <a href="/Muhidinmkwera/">Mkwera MT.</a> amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kibiti lililoko Mkoa wa Pwani kwa tiketi ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya ACTWazalendo, Ndugu Husna Sungura , amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Chamanzi. Wanachama wa ACT Wazalendo wanaendelea kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/husna_sungura/">Husna Sungura</a> , amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Chamanzi. 

Wanachama wa ACT Wazalendo wanaendelea kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini. 

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Hodi hodi Same! Katibu Mkuu wa ACTWazalendo Ndugu Ado Shaibu atakuwa na ziara ya siku mbili katika Jimbo la Same Mashariki (tarehe 22-23 Mei 2025). #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Hodi hodi Same! Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> atakuwa na ziara ya siku mbili katika Jimbo la Same Mashariki (tarehe 22-23 Mei 2025). #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Ni Leo Mei 24, 2025 KC Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe atazungumza na waandishi wa habari. Wapi? Kakonko. Kuna nini huko? Usiache kutufuatilia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo

Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

KC Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akizungumza wakati wa hafla ya kuwapokea wanachama na viongozi wapya 215 kutoka CHADEMA ambao wamejiunga na chama cha ACT Wazalendo katika jimbo jipya la Kakonko mkoani Kigoma, Mei 24, 2025. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

KC <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a>   akizungumza wakati wa hafla ya kuwapokea wanachama na viongozi wapya 215 kutoka CHADEMA ambao wamejiunga na chama cha ACT Wazalendo katika jimbo jipya la Kakonko mkoani Kigoma, Mei 24, 2025.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Viongozi wa Kata 13, Wanachama zaidi ya 200 kutoka CHADEMA Jimbo la Kakonko wajiunga na ACTWazalendo, KC Mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe awapokea. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Viongozi wa Kata 13, Wanachama zaidi ya 200 kutoka CHADEMA Jimbo la Kakonko wajiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, KC Mstaafu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> awapokea. 

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 27, 2025 — Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman, amekutana na viongozi wa chama Mkoa wa Mara. Kikao hiki kimejadili mwenendo wa siasa nchini na mwelekeo wa chama kuelekea Uchaguzi Mkuu. Huu ni mwendelezo wa #OperesheniLindaDemokrasia. #MuhuniHasusiwi

Leo Mei 27, 2025 — Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Taifa, Ndugu <a href="/othmasoud/">Othman Masoud Othman</a>, amekutana na viongozi wa chama Mkoa wa Mara. Kikao hiki kimejadili mwenendo wa siasa nchini na mwelekeo wa chama kuelekea Uchaguzi Mkuu. Huu ni mwendelezo wa #OperesheniLindaDemokrasia.

#MuhuniHasusiwi
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

NTOBI AJIUNGA ACTWazalendo EMMANUEL NTOBI, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Tanzania Mkoa wa Shinyanga amehama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo. Ntobi amepokelewa leo tarehe 3 Juni 2025 na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Ado Shaibu

NTOBI AJIUNGA <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 

<a href="/EMMANUELNTOBI3/">EMMANUEL NTOBI</a>, aliyekuwa Mwenyekiti wa <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> Mkoa wa Shinyanga amehama Chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo. Ntobi amepokelewa leo tarehe 3 Juni 2025 na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Leo Juni 05, 2025 Viongozi Wakuu wa ACTWazalendo wataongea na vyombo vya habari. Muda: Kuanzia saa 5.00 asubuhi Eneo: Makao Makuu ya Chama, Magomeni, Dar es salaam. Waandishi wote mnakaribishwa. Abdallah Khamis, Afisa Habari, ACT Wazalendo. 4 Juni 2025.

Leo Juni 05, 2025 Viongozi Wakuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> wataongea na vyombo vya habari. 

Muda: Kuanzia saa 5.00 asubuhi

Eneo: Makao Makuu ya Chama, Magomeni, Dar es salaam.

Waandishi wote mnakaribishwa.

Abdallah Khamis, Afisa Habari, ACT Wazalendo.
4 Juni 2025.
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

Kesho zamu ya nani? Majibu yatapatikana Makao Makuu ya Chama ACTWazalendo Magomeni kesho tarehe 9 Juni 2025 kuanzia saa 7.00 Mchana. Karibuni sana!!

Kesho zamu ya nani? Majibu yatapatikana Makao Makuu ya Chama <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
 Magomeni kesho tarehe 9 Juni 2025 kuanzia saa 7.00 Mchana. Karibuni sana!!
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

KATIBU MWENEZI NCCR MAGEUZI AJIUNGA ACT WAZALENDO Katibu Mwenezi Taifa wa NCCR Mageuzi Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na ACTWazalendo . Elisante amepokelewa na KM wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi wa Juma Haji Duni .

KATIBU MWENEZI NCCR MAGEUZI AJIUNGA ACT WAZALENDO

Katibu Mwenezi Taifa wa NCCR Mageuzi Ndugu Elisante Ngoma amekihama Chama hicho na kujiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> . Elisante amepokelewa na KM wa ACT Wazalendo Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>  leo tarehe 9 Juni 2025 katika Ukumbi wa <a href="/JumaDuni/">Juma Haji Duni</a> .
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

#KaaTayari ....! Baada ya kujiunga na ACTWazalendo , kwa mara ya kwanza Mpambanaji Sheikh #PondaIssaPonda akiambatana na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo atahutubia Taifa kupitia Mkutano wa hadhara wiki hii. Unadhani ataanzia Jimbo gani?

#KaaTayari ....! Baada ya kujiunga na <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> , kwa mara ya kwanza Mpambanaji Sheikh #PondaIssaPonda akiambatana na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo atahutubia Taifa kupitia Mkutano wa hadhara wiki hii. Unadhani ataanzia Jimbo gani?
Ayoub Abdul Akida (@scotchakida) 's Twitter Profile Photo

SHEIKH ISSA PONDA KUUNGURUMA DAR . Mwanachama wa ACTWazalendo ambaye pia ni Katibu wa Shura ya Maimamu Tz 🇹🇿 Sheikh #PondaIssaPonda akiambatana na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo atafanya mkutano wa hadhara ktk viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar siku ya tarehe 14 Juni 2025.

SHEIKH ISSA PONDA KUUNGURUMA DAR .

Mwanachama wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ambaye pia ni Katibu wa Shura ya Maimamu Tz 🇹🇿 Sheikh #PondaIssaPonda akiambatana na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo atafanya mkutano wa hadhara ktk viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar  siku ya tarehe 14 Juni 2025.