Tarehe 28 Agosti 2025 pale Tanganyika packers, Kawe, jijini Dar es Salaam, tutasimama pamoja kushuhudia ukurasa mpya wa Taifa letu ukiandikwa kwa KISHINDO CHA KIJANI.
#kishindochakijani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Hassan Omari Kitenge kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma tarehe 26 Agosti, 2025.