Aleph Bonnie ™ | 1440 (@sajjo) 's Twitter Profile
Aleph Bonnie ™ | 1440

@sajjo

| FARMER @MagoleFarm 🍃 🚜 | @NyavuTz | @LMadvisory | @VapperTech | #SYT | Coordinator: @FMFound | Banana Expert ask @Salim_Alkhasas | #MWF16 | 413 |

ID: 42072169

linkhttps://www.elemadvisory.co.tz calendar_today23-05-2009 18:23:42

122,122K Tweet

117,117K Followers

1,1K Following

Aleph Bonnie ™ | 1440 (@sajjo) 's Twitter Profile Photo

Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani pia. 1 Wakorintho 10:21 🙏🏽

Aleph Bonnie ™ | 1440 (@sajjo) 's Twitter Profile Photo

Nikitoa mali yote niliyo nayo, na nikijitolea mwili wangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidi kitu. 1 Wakorintho 13:3 🙏🏽

Fred Kavishe (@fredkavishe) 's Twitter Profile Photo

Mwaka Jana October katikati tuliingia biashara ya Logistics rasmi Tumeweza ajiri full time vijana watano Tumeweza safirisha containers zaidi ya 700(export na Import) Bado ni wachanga lakini mdo mdo tunasonga.