Mr Opportunist (@sabasef) 's Twitter Profile
Mr Opportunist

@sabasef

Opportunities

ID: 1175649686071455745

linkhttp://www.opportunies.go.tz calendar_today22-09-2019 05:55:23

9,9K Tweet

717 Followers

1,1K Following

Mr Opportunist (@sabasef) 's Twitter Profile Photo

Hii sio ya Kwanza Kwa kibatala kuiongelea... Matukio haya yanajirudia na Mahakama inajizugisha Tu... Mwanasheria Mkuu anateuliwa unataka kusema nini? Hii nchi inahitaji Mabadiliko Kwa Njia ya MIGOMO ONLY

Mr Opportunist (@sabasef) 's Twitter Profile Photo

Tulia kama mtulivu frani hivi... Usikute Nape ndo anamkula huyu mama Sina uhakika na Huyu mama naheshimu ImΓ ni Yake ila Aliishi Neno.

Tulia kama mtulivu frani hivi... Usikute Nape ndo anamkula huyu mama

Sina uhakika na Huyu mama naheshimu ImΓ ni Yake ila Aliishi Neno.
Mr Opportunist (@sabasef) 's Twitter Profile Photo

Zile Pesa kutoka JaYrutty na Udhamini wake mkataba na Diadora zinaweza kushindwa kumleta Feisal SalumπŸ‡ΉπŸ‡Ώ Msimbazi? Ok achana na 🚌 mpeni kibunda... Kijana wa Ndoto zetu kabisa huyu pale Simba Sports Club Itakuwa ni 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Zile Pesa kutoka JaYrutty na Udhamini wake mkataba na Diadora zinaweza kushindwa kumleta <a href="/IamFeisalSalum/">Feisal SalumπŸ‡ΉπŸ‡Ώ</a> Msimbazi? Ok achana na 🚌 mpeni kibunda... Kijana wa Ndoto zetu kabisa huyu pale <a href="/SimbaSCTanzania/">Simba Sports Club</a> 

Itakuwa ni 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Mr Opportunist (@sabasef) 's Twitter Profile Photo

Yale Yale ya JIWE.... Sasa hii ni mwanzo tu tunakoelekea KAZI itawafikia WAKURUGENZI nao watapewa KIAPO chao kabla ya kuanza mchakato wa kupiga Kura.

goligani (@goligani) 's Twitter Profile Photo

WANALUNYASI ratiba ya leo hii hapa ARATII iwafikie AMPHIBIA popote walipojifichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ✍🏿Tunaanza na Wasafi Sports Arena saa 08:30, ✍🏿ikifika saa 09:00 tunafuata na Hili Game pale Clouds, ✍🏿 09:00 tutakuwa crown fm ✍🏿wakipiga Matangazo tunarudi Wasafi, ✍🏿then tunaenda

WANALUNYASI ratiba ya leo hii hapa ARATII iwafikie AMPHIBIA popote walipojifichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
✍🏿Tunaanza na Wasafi Sports Arena saa 08:30, 
✍🏿ikifika saa 09:00 tunafuata na Hili Game pale Clouds, 
✍🏿 09:00 tutakuwa crown fm 
✍🏿wakipiga Matangazo tunarudi Wasafi, 
✍🏿then tunaenda
Fumbo Khan (@fumbokhanjr) 's Twitter Profile Photo

Hersi ndio Kiongozi wa Kwanza wa Mpira alipewa Hype Kubwa sana, tukamuona kama genius kwenye mpira kumbe wa kawaida sana, Mangungu is far better than him.

Hersi ndio Kiongozi wa Kwanza wa Mpira alipewa Hype Kubwa sana, tukamuona kama genius kwenye mpira kumbe wa kawaida sana, Mangungu is far better than him.