RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO
@ruffo_tz
Raising Up Friendship Foundation (RUFFO) is an NGO based in Dar es Salaam, Tanzania focusing on Child Protection and Development.
ID: 893706391474626560
http://www.ruffo.or.tz 05-08-2017 05:33:02
156 Tweet
159 Followers
455 Following
Wanachama wa club ya SITANYAMAZA wanaohitimu kidato cha nne waliandaa maadhimisho ya siku ya hedhi 2023 katika shule ya sekondari kerezange . RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO tunaamini kua tumetengeneza mashujaa na wapinga ukatili watakaoenda kuleta chachu ya mabadiliko kwenye jamii
Siku ya Hedhi duniani RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO ilitembelea shule ya sekondari kerezange na kutoa taulo za kike ikiwa ni moja ya mradi wa hedhi yangu katika kuwasaidia mabinti kuendelea kubaki shuleni kipindi cha hedhi wanapokuwepo shuleni. 🌐 Website : ruffo.or.tz
Uongozi wa RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO ukipokea makala ya vitabu vya utetezi na hatua za kupinga vikali ukatili wa kijinsia kutoka Kikundi cha KITUO CHA TAARIFA NA MAARIFA - ( knowledge center )kilichopo kata ya kivule, Wilaya ya Ilala,kinachoshirikiana na TGNP TGNP ruffo.or.tz
Jana, jumatano RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO ilifanikiwa kushiriki Mkutano mkuu wa mwaka wa mashirika yasiyo ya kiserikali wilaya ya kinondoni. Mkutano huo ulikuwa na lengo la Kujadili changamoto na mchango wa mashirika yasiyo ya kiserikali katika maendeleo ya wilaya ya kinondoni. National Council Of NGOs Tanzania
Kuinua Furaha ya Mtoto ni Kukuza Maendeleo ya Mapema ya Utotoni kwa Mtoto Mwenye Furaha, Chini ya Upendo wa Wazazi na Walezi! 💛✨ 🌐 Website : ruffo.or.tz 📍Office : Mikocheni 📩 Email : [email protected] ☎️ Tel : +255 765 670 746
Preparations r ready! Meet us tomorrow, the 19th, at 7 am at Sheraton #Kigali to discuss the importance of a global instrument to end #VAWG #EWT #WD2023 Women Deliver Youth Deliver you will reflect with coalition members fr #Kenya #Senegal #Cameroun #Lebanon our team is eager!
Siku ya leo, Uongozi wa RUFFO umetoa zawadi kwa mwanafunzi wa shule ya sekondari Kerezange kwa ufaulu wa DIV1 kidato cha4 Bi Gift Alinga RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO limezidi kuimarisha na kuboresha klabu ya SITANYAMAZA iliyopo shuleni hapo na mradi wa HEDHI YANGU zote zinazosimamiwa na RUFFOᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠᅠRUFFO