
B I N A M U๐๐๐
@rickblessed2
THUNDER๐๐ [email protected]
ID: 1209977284129673216
25-12-2019 23:20:57
1,1K Tweet
983 Followers
141 Following


Tunahitaji taarifa zaidi, ni wakina nani?, wamekamatwa lini?,wakiwa wapi?, walitumwa na nani? Na huyo afande ni nani? Na yeye amekamatwa? Wako kituo gani? Wako wangapi? Hilo kosa wamefanyia wapi na ni lini? Acheni kumangamanga toeni taarifa Police Force TZ #JusticeForBintiWaYombo






MAFWELE ndie alieniteka na kutaka nife kwa kupigwa Risasi ya kichwa na kutupwa MBUGA YA WANYAMA HUKO MKOANI KATAVI. Watanzania MJUENI KW MAJINA NA SURA. Anaitwa : FAUSTINE MAFWELE. NI KIONGOZI KWENYE JESHI LA POLISI Police Force TZ Repost 200 wana walijue TEKAJI la hapa mjini.






๐๐๐ ๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐ ๐๐ข ๐ฒ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐๐จ๐ญ๐ ๐๐๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ง๐ญ (๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฑ) ๐๐๐ ๐๐๐ฃ๐ TAHADHARI. Nakutumia sasa hivi, ila hakikisha. 1. Umenifollow 2. Repost 3. Comment "2025" Halafu angalia Inbox yako โณ



Tulikuwa tunamtaka LISSU muda wa Kuwajibika ni huu. Haya hapa madaraja ya KADI za kuwa Mwanachama wa CHADEMA. Ada hizi utalipia kila Mwaka. Mimi nitakata โTANZANITEโ na mwanangu Taivina James nae atakata Hiyo. Wakati wa kupiga KELELE umeisha, tufanye kweli. Repost 400๐ฅ





