Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (@pndalichako) 's Twitter Profile
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako

@pndalichako

Official Page of Member of Parliament representing Kasulu Town Constituency/ Ukurasa rasmi wa Mbunge wa Kasulu Mjini

ID: 1393961582137315328

linkhttps://instagram.com/prof_joyce_ndalichako?utm_medium=copy_link calendar_today16-05-2021 16:09:14

465 Tweet

7,7K Takipçi

28 Takip Edilen

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Karibu rasmi kazini Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Mwenyezi Mungu aliyekuita, na wewe kuitika kwa kazi hii ya kutumikia watu wake akakusimamie na kukuongoza. (Tafakari: Mithali 3:5-6) Nakuahidi ushirikiano wangu na

Karibu rasmi kazini Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Mwenyezi Mungu aliyekuita, na wewe kuitika kwa kazi hii ya kutumikia watu wake akakusimamie na kukuongoza. (Tafakari: Mithali 3:5-6)

Nakuahidi ushirikiano wangu na
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Heri ya Miaka 47 toka kuanzishwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Imekuwa miaka 47 ya mapinduzi makubwa kwa kila Mtanzania kwenye kila kona ya nchi yetu. Tulipo leo, sipo tulipokuwa miaka 47 iliyopita. Tumepiga hatua kubwa za kimapinduzi na za kujivunia zenye matunda mazuri katika

Heri ya Miaka 47 toka kuanzishwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Imekuwa miaka 47 ya mapinduzi makubwa kwa kila Mtanzania kwenye kila kona ya nchi yetu. Tulipo leo, sipo tulipokuwa miaka 47 iliyopita. Tumepiga hatua kubwa za kimapinduzi na za kujivunia zenye matunda mazuri katika
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (@pndalichako) 's Twitter Profile Photo

Kutokea Kasulu Mjini, Wana CCM wenzangu wote Tanzania nawatakia umoja, amani na ushindi wakati wote tunapo sherekea miaka 47 ya kuanzishwa kwa Chama chetu. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.👍

Kutokea Kasulu Mjini, Wana CCM wenzangu wote Tanzania nawatakia umoja, amani na ushindi wakati wote tunapo sherekea miaka 47 ya kuanzishwa kwa Chama chetu.  

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.👍
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (@pndalichako) 's Twitter Profile Photo

Nimeungana na Makamu wa Rais wa JMT Mhe.Dr. Philip Isdor Mpango pamoja na viongozi wa Vyama vya Waajiri katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es salaam wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 7 wa Wadau wa Kijamii wa Afrika katika masuala ya Kazi na Ajira. Kazi inaendelea

Nimeungana na Makamu wa Rais wa JMT Mhe.<a href="/dr_mpango/">Dr. Philip Isdor Mpango</a> pamoja na viongozi wa Vyama vya Waajiri  katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es salaam wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 7 wa Wadau wa Kijamii wa Afrika katika masuala ya Kazi na Ajira.

Kazi inaendelea
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Asubuhi ya leo nimemkaribisha nchini na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Poland, Mheshimiwa Andrzej Duda. Uhusiano kati ya Tanzania na Poland ni wa kihistoria na umedumu kwa zaidi ya miaka 60. Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa Poland kufanya ziara ya kitaifa Tanzania, na

Asubuhi ya leo nimemkaribisha nchini na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Poland, Mheshimiwa Andrzej Duda. Uhusiano kati ya Tanzania na Poland ni wa kihistoria na umedumu kwa zaidi ya miaka 60. Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa Poland kufanya ziara ya kitaifa Tanzania, na
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (@pndalichako) 's Twitter Profile Photo

Nikizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Megawati 49.5 kwa nguvu ya Maji Katika Mto Malagarasi Mkoani Kigoma, hafla iliyofanyika jijini Dodoma. Kazi inaendelea.

Nikizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Megawati 49.5 kwa nguvu ya Maji Katika Mto Malagarasi Mkoani Kigoma, hafla iliyofanyika jijini Dodoma.

Kazi inaendelea.
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Mheshimiwa Lowassa ameitumikia nchi yetu katika nafasi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35, akianzia ushiriki wake katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Mheshimiwa Lowassa ameitumikia nchi yetu katika nafasi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 35, akianzia ushiriki wake katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi
ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.
Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (@pndalichako) 's Twitter Profile Photo

Tunamshukuru Mungu tumeweza tumekutana na mabalozi wote 490 wa Jimbo la Kasulu Mjini, tumegawa bendera 550 za Chama Cha Mapinduzi na kuzungumza nao kwenye semina maalum. Nawashukuru sana wananchi wa Kasulu Mjini kwa upendo wao. Umoja ni nguvu. Kazi inaendelea

Tunamshukuru Mungu tumeweza tumekutana na mabalozi wote 490 wa Jimbo la Kasulu Mjini, tumegawa bendera 550 za <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> na kuzungumza nao kwenye semina maalum. Nawashukuru sana wananchi wa Kasulu Mjini kwa upendo wao. 

Umoja ni nguvu. Kazi inaendelea