Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile
Haatim Abdul

@penaltytaker12

Football Analyst
@wasafifm

ID: 1804219822579785728

calendar_today21-06-2024 18:29:17

627 Tweet

2,2K Takipçi

10 Takip Edilen

Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

MSAKO WA MAANA... RS Berkane kuanzia mwanzo mpaka mwisho, sio nyuma mbele wala katikati... Mipira ya mwanzo✔️ Ya pili✔️ Pressing✔️ Ufanisi✔️

MSAKO WA MAANA...

RS Berkane kuanzia mwanzo mpaka mwisho, sio nyuma mbele wala katikati...

Mipira ya mwanzo✔️
Ya pili✔️
Pressing✔️
Ufanisi✔️
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

'ALWAYS NEXT TIME' Baada ya Simba kukataliwa bao la pili kwa offside binafsi naamini mechi iliishia pale, Berkane kisaikolojia walishtuka, 'ILE NDIO ILIKUWA NYAKATI MUHIMU KWENYE HUU MCHEZO'...

'ALWAYS NEXT TIME'

Baada ya Simba kukataliwa bao la pili kwa offside binafsi naamini mechi iliishia pale, Berkane kisaikolojia walishtuka, 'ILE NDIO ILIKUWA NYAKATI MUHIMU KWENYE HUU MCHEZO'...
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Nilimuuliza beki wa kati wa Wycombe Wanderers, Ryan Tafazolli, nini anafanya baada ya kiwango bora kutoka kwenye mechi iliopita, Na hili ndio jibu lake... Ryan ameshakuwa mchezaji bora wa klabu mara 2 na ameshaingia kwenye kikosi cha msimu league 1, 20/21, Somo hilo...

Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

DICKSON JOB MVP WANGU🥇... Huyu ndio mchezaji pekee ambaye amekuwa na performance nzuri kwenye kila mchezo wa ligi msimu huu... Na juu ya muendelezo wake amefuta makosa mengi sana ya kiulinzi ya wenzie msimu huu... Lakini hata kwenye michuano ya kimataifa na CRDB, Job🔝🔝🔝

DICKSON JOB MVP WANGU🥇...

Huyu ndio mchezaji pekee ambaye amekuwa na performance nzuri kwenye kila mchezo wa ligi msimu huu... 

Na juu ya muendelezo wake amefuta makosa mengi sana ya kiulinzi ya wenzie msimu huu...

Lakini hata kwenye michuano ya kimataifa na CRDB, Job🔝🔝🔝
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

KIVUMBI CHA PUMZI... Hiki kiungo cha Abuya, Max na Muda kwa pamoja ni bonge la balaa kwa mpinzani... Hizo ni Engine tatu bora zaidi nchini na zote ziko uwanjani kwa wakati mmoja... Kiungo cha mpinzani kinamezwa mazima kwenye upande wa nishati, ufundi ndio battle yao inayobaki.

KIVUMBI CHA PUMZI...

Hiki kiungo cha Abuya, Max na Muda kwa pamoja ni bonge la balaa kwa mpinzani... Hizo ni Engine tatu bora zaidi nchini na zote ziko uwanjani kwa wakati mmoja...

Kiungo cha mpinzani kinamezwa mazima kwenye upande wa nishati, ufundi ndio battle yao inayobaki.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

DUKE 'MACHINE' ABUYA... Binafsi kwangu amekuwa ndio kiungo bora wa chini wa Yanga msimu huu... Abuya anakupa karibu kila kitu, nishati, passing, na mikimbio ya mwisho kwenye boksi... Sanaa yake ya kuzuia bila mpira ni bora sana, hakuna faulo wala kadi za ovyo, UNDERRATED.

DUKE 'MACHINE' ABUYA...

Binafsi kwangu amekuwa ndio kiungo bora wa chini wa Yanga msimu huu... Abuya anakupa karibu kila kitu, nishati, passing, na mikimbio ya mwisho kwenye boksi...

Sanaa yake ya kuzuia bila mpira ni bora sana, hakuna faulo wala kadi za ovyo, UNDERRATED.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

DYNAMIC PRESSER💨... Kwangu bila mpira kwenye Build up ya mpinzani kwenye pressing hakuna zaidi ya Mudathir Yahya kwenye ligi yetu... Kile anachoweza ku-offfer hasa timu ikiwa haina mpira kwangu hakuna mjadala kabisa kuhusu uhitaji wake kwa misimu mingine kadhaa.

DYNAMIC PRESSER💨...

Kwangu bila mpira kwenye Build up ya mpinzani kwenye pressing hakuna zaidi ya Mudathir Yahya kwenye ligi yetu...

Kile anachoweza ku-offfer hasa timu ikiwa haina mpira kwangu hakuna mjadala kabisa kuhusu uhitaji wake kwa misimu mingine kadhaa.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Ligi yetu imeruhusu wachezaji ambao hawako timamu hata kwa asilimia 85 kuendelea kuonekana bora na ndicho alichoondokea Aziz msimu uliopita. Aziz amekwenda Wydad physically akiwa chini licha ya kiwango alichoonesha akiwa na Yanga. Sasa anatakiwa kuwa 100% fit kutoa kilicho bora.

Ligi yetu imeruhusu wachezaji ambao hawako timamu hata kwa asilimia 85 kuendelea kuonekana bora na ndicho alichoondokea Aziz msimu uliopita.

Aziz amekwenda Wydad physically akiwa chini licha ya kiwango alichoonesha akiwa na Yanga. Sasa anatakiwa kuwa 100% fit kutoa kilicho bora.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Azam wameachana na Winga mzuri sana ndani ya Gibril Sillah, ni vile amekosa nyota ya kuzungumziwa sana lakini ana kila kitu. Finisher mzuri sana ndani na nje ya box mwenye utulivu mkubwa sana. Uhatari unaofanana pembeni na katikati ya uwanja. Sijiulizi kupata ya winga kama hii.

Azam wameachana na Winga mzuri sana ndani ya Gibril Sillah, ni vile amekosa nyota ya kuzungumziwa sana lakini ana kila kitu.

Finisher mzuri sana ndani na nje ya box mwenye utulivu mkubwa sana. Uhatari unaofanana pembeni na katikati ya uwanja. Sijiulizi kupata ya winga kama hii.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

PRESHA🥶👋 Kennedy Musonda ameshindwa kuibeba presha ya kuwa Mshambuliaji tegemezi kwenye klabu kubwa kama Yanga... Kuondoka kwa Mayele msimu juzi ilikuwa ndio nafasi yake nzuri kujimilikisha nafasi hiyo lakini ikawa afadhali ya wengine mbele yake. Na confidence yote ikapotea.

PRESHA🥶👋

Kennedy Musonda ameshindwa kuibeba presha ya kuwa Mshambuliaji tegemezi kwenye klabu kubwa kama Yanga...

Kuondoka kwa Mayele msimu juzi ilikuwa ndio nafasi yake nzuri kujimilikisha nafasi hiyo lakini ikawa afadhali ya wengine mbele yake. Na confidence yote ikapotea.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Sajili bora kabisa za Injinia ndani ya Yanga ni za viungo wa chini wa nje. Aliwaleta Aucho na Bangala ambao wamelipa vizuri sana Pacome mwenyewe alisajiliwa kama kiungo wa chini kuwa mbadala wa Bangala. Kwa Mussa Bala Conte muda utaongea lakini nampa faida pia Injinia hapa.

Sajili bora kabisa za Injinia ndani ya Yanga ni za viungo wa chini wa nje. Aliwaleta Aucho na Bangala ambao wamelipa vizuri sana

Pacome mwenyewe alisajiliwa kama kiungo wa chini kuwa mbadala wa Bangala. 

Kwa Mussa Bala Conte muda utaongea lakini nampa faida pia Injinia hapa.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Yanga haihitaji namba 10 mwingine. Vilabu vingi vikubwa hivi sasa vinatafuta namba 10 ambao wanaweza 'kudribble' na kutafsiri nafasi kwa haraka. Yanga wana wawili, Pacome Zouzoua na Max. Watenge bajeti nzuri kupata hata mawinga wawili wenye ubora watakaowasaidia sana kimataifa

Yanga haihitaji namba 10 mwingine. Vilabu vingi vikubwa hivi sasa vinatafuta namba 10 ambao wanaweza 'kudribble' na kutafsiri nafasi kwa haraka.

Yanga wana wawili, Pacome Zouzoua na Max. Watenge bajeti nzuri kupata hata mawinga wawili wenye ubora watakaowasaidia sana kimataifa
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Mavambo ana stamina ndogo kama Box to Box Midfielder. Mavambo kuna mchezaji pale, ana hold na kukokota mpira vizuri shida ni nishati yake na ndio maana anachelewa kwenye matukio mengi ya kukaba lakini hata ya kushambulia. Hata uzuri wake ulikuwa wa vipindi, sio dakika zote 90.

Mavambo ana stamina ndogo kama Box to Box Midfielder.

Mavambo kuna mchezaji pale, ana hold na kukokota mpira vizuri shida ni nishati yake na ndio maana anachelewa kwenye matukio mengi ya kukaba lakini hata ya kushambulia.

Hata uzuri wake ulikuwa wa vipindi, sio dakika zote 90.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Yanga walishaikubali kitambo ofa ya Umm Salal kwa ajili ya Clement Mzize. Tatizo liko kwa msimamizi ambae dili hakulileta yeye kwaiyo ikifanyika biashara hii hakuna atakachopata.

Yanga walishaikubali kitambo ofa ya Umm Salal kwa ajili ya Clement Mzize. Tatizo liko kwa msimamizi ambae dili hakulileta yeye kwaiyo ikifanyika biashara hii hakuna atakachopata.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Hii ndio barua kutoka Umm Salal kwa ajili ya uhamisho wa Mzize. Ofa ni Dola 900,000 itakayolipwa kwa awamu mbili. Barua imetoka kwa mkurugenzi wa ufundi, Abdulaziz Bin Saoud Al Thani, ndugu na Mwenyekiti, Abdulaziz Bin Abdulrahman Al Thani na ilijibiwa siku 4 baadae na Yanga.

Hii ndio barua kutoka Umm Salal kwa ajili ya uhamisho wa Mzize. Ofa ni Dola 900,000 itakayolipwa kwa awamu mbili. Barua imetoka kwa mkurugenzi wa ufundi, Abdulaziz Bin Saoud Al Thani, ndugu na Mwenyekiti, Abdulaziz Bin Abdulrahman Al Thani na ilijibiwa siku 4 baadae na Yanga.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Jeuri ya pesa ndio imemleta Selemani Mwalimu kwa mkopo Msimbazi. Pale Wydad, Mwalimu analipwa $2500, takribani Milioni 6 na nusu kwa mwezi. Mo kampa mshahara Milioni 15 kwa mwezi na Signing fee Milioni 120 kwa huo mwaka mmoja. Fadlu pia kamhakikishia game time ya kutosha klabuni

Jeuri ya pesa ndio imemleta Selemani Mwalimu kwa mkopo Msimbazi. Pale Wydad, Mwalimu analipwa $2500, takribani Milioni 6 na nusu kwa mwezi.

Mo kampa mshahara Milioni 15 kwa mwezi na Signing fee Milioni 120 kwa huo mwaka mmoja. Fadlu pia kamhakikishia game time ya kutosha klabuni
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Kwa unaetaka kupata undani wa kiufundi na kiuchezaji wa timu za ligi kuu, gazeti la Ligikuu_xtra litakupa maandiko ya kina kuhusu timu na wachezaji unaowapenda wa ligi ya Tanzania Lakini fuatilia ukurasa wa LigiKuu_Xtra unaoambatanisha video fupi zenye uchambuzi yakinifu zaidi.

Kwa unaetaka kupata undani wa kiufundi na kiuchezaji wa timu za ligi kuu, gazeti la Ligikuu_xtra litakupa maandiko ya kina kuhusu timu na wachezaji unaowapenda wa ligi ya Tanzania

Lakini fuatilia ukurasa wa <a href="/ligikuuxtra/">LigiKuu_Xtra</a> unaoambatanisha video fupi zenye uchambuzi yakinifu zaidi.
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Mwalimu Romain Folz anajua muda na namna ya kufanya mabadiliko. Kila mechi mpaka sasa akifanya mabadiliko lazima athari ipatikane Mabadiliko ya leo yameibadilisha sana mechi licha ya Pamba kuja kama walivyofanya kipindi cha kwanza Hii ni ishara ya mwalimu anaejua kuusoma mchezo

Mwalimu Romain Folz anajua muda na namna ya kufanya mabadiliko. Kila mechi mpaka sasa akifanya mabadiliko lazima athari ipatikane

Mabadiliko ya leo yameibadilisha sana mechi licha ya Pamba kuja kama walivyofanya kipindi cha kwanza

Hii ni ishara ya mwalimu anaejua kuusoma mchezo
Haatim Abdul (@penaltytaker12) 's Twitter Profile Photo

Simba ya kipindi cha pili dhidi ya Fountain Gate, ya 4-3-3 yenye Ahoua, Abraham na Maema inaweza kuwafanya Simba kuwa tishio zaidi kwenda mbele Nafasi za kutosha zimetengenenzwa, lakini wachezaji wote bora walikuwa maeneo ya kutoa ubora wao akiwemo Mpanzu alieanzia zaidi pembeni

Simba ya kipindi cha pili dhidi ya Fountain Gate, ya 4-3-3 yenye Ahoua, Abraham na Maema inaweza kuwafanya Simba kuwa tishio zaidi kwenda mbele

Nafasi za kutosha zimetengenenzwa, lakini wachezaji wote bora walikuwa maeneo ya kutoa ubora wao akiwemo Mpanzu alieanzia zaidi pembeni