Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile
Patrick John Assenga

@patrickjassenga

Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea |
Mgombea Ubunge Rombo 2020 |
Diwani Tabata 2015-2020 |

ID: 1304450959205072898

calendar_today11-09-2020 16:06:10

10,10K Tweet

76,76K Followers

1,1K Following

Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

KWA HESHIMA NIMEJIBU ANDIKO LA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA DR.RUGEMELEZA NSHALA ,GROUP LA MASWALI MAGUMU : Mwanasheria Mkuu wa Chama ,salaam. Nimesoma maoni yako ambayo yamejaa uchungu na maumivu ,lawama na kejeli . Umesema kuwa uongozi mpya unasimamia maamuzi ya vikao vya

𝐽𝑒𝑙𝑖𝑒𝑠 πΊπ‘Žπ‘π‘Ÿπ‘–π‘’π‘™ π‘€π‘€π‘–π‘‘π‘Ž (@mwitajulius2000) 's Twitter Profile Photo

🚩 Anaandika Mh Johnrema Jon Mrema Mkurugenzi Mstaafu wa Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa @ChademaTz KWA HESHIMA NIMEJIBU ANDIKO LA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA DR.RUGEMELEZA NSHALA ,GROUP LA MASWALI MAGUMU : Mwanasheria Mkuu wa Chama ,salaam. Nimesoma maoni yako ambayo

Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA UMMA . YAHUSU TAARIFA INAYOSAMBAZWA MTANDAONI KUWA MIMI JOHN EDWARD MREMA NIMEVULIWA UANACHAMA WA CHADEMA NA TAWI LA BONYOKWA. Kutokana na taarifa hizo kuzua taharuki kubwa na kusababisha watu mbalimbali kupiga simu ,napenda kutoa ufafanuzi ufuatao; 1. Mimi John

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Mnafanya jambo nyie wenyewe, kisha mnalichunguza nyie wenyewe. Umma hautakubaliana na nyie katika jambo hili. Mdude mrejesheni akiwa mzima, ama maiti yake.

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Jitokezeni nyie wenyewe... Acheni kuwatuma hawa makatibu wa MATAWI uku mkijua hawana MAMLAKA hayo ya KIKATIBA ya kumfuta UANACHAMA kiongozi wa KANDA . Tukiwachukulia HATUA za KINIDHAMU msitoe MLIO.

Jitokezeni nyie wenyewe...

Acheni kuwatuma hawa makatibu wa MATAWI uku mkijua hawana MAMLAKA hayo ya KIKATIBA ya kumfuta UANACHAMA kiongozi wa KANDA . Tukiwachukulia HATUA za KINIDHAMU msitoe MLIO.
Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Ndugu yangu Bony ulikuwa wapi siku zote kuniambia haya? Unaona sasa NDUGU yako napigwa kama mpira wa Kona? SEGEREA hakukaliki, ROMBO ndio kabisa…hii habari za hii CHAUMMA zishakuwa ngumu kueleweka? Naendelea kutafakari hatima yangu kisiasa, Mungu nijaze UJASIRI.

Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

Sifa mojawapo ya kuwa Mwanachama wa CHAUMMA kwa mujibu wa Katiba ni lazima uwe unaamini uwepo wa Mungu, Katiba ibara ya 10(b) . Karibuni wacha Mungu wote .

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Tulikamata jiji la Dar es Salaam mwaka 2015, Tukachukua MANISPAA ya KINONDONI, tukachukua ILALA, tukachukua na UBUNGO. MWAKA huu kupitia CHAUMMA tunaenda KUKOMBA vyoteeee.

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Hapa ni Nyumbani ROMBO MAMSERA, umati huo sisi ndo TULIUPA IMANI hapo nyuma. Tuliujenga hatua kwa hatua, Tunakwenda KUANZIA tulipoishia.

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Nikihutubia MAELFU ya Wananchi, Jioni ya Leo katika Viwanja vya FURAHISHA-Nyamagana, Jijini MWANZA. Asanteni Wana-MWANZA kwa kuja kwa WINGI kutisikiliza CHAUMMA. Tunaendeleza pale tulipoishia.

Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

MAMIA ya Wananchi WALIOFURIKA kufuatilia HOTUBA katika mwendelezo wa MIKUTANO yetu iliofanyika JIONI ya leo huko Jimboni SERENGETI, Mkoa wa Mara. Tunaendeleza tulipoishi.

MAMIA ya Wananchi WALIOFURIKA kufuatilia HOTUBA katika mwendelezo wa MIKUTANO yetu iliofanyika JIONI ya leo huko Jimboni SERENGETI, Mkoa wa Mara.

Tunaendeleza tulipoishi.
Patrick John Assenga (@patrickjassenga) 's Twitter Profile Photo

Jukwaani ni Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma, Salum Mwalimu akihutubia Maelfu ya Wananchi katika Mkutano wetu wa Hadhara Usariver Arusha Leo. Tunaendeleza tulipoishia. #TunaendeleTulipoishia #C4C

Jukwaani ni Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma, Salum Mwalimu akihutubia Maelfu ya Wananchi katika Mkutano wetu wa Hadhara Usariver Arusha Leo.
Tunaendeleza tulipoishia.
#TunaendeleTulipoishia 
#C4C