WASHEHABINYA (@paralegalsnyasa) 's Twitter Profile
WASHEHABINYA

@paralegalsnyasa

WASHEHABINYA ni Shirika lisilo la KISERIKALI lenye lengo la kuifanya jamii inayotambua sheria na HAKI za binadamu,ofisi zake zipo wilaya ya Nyasa, 0786392873,

ID: 1674344754618695682

calendar_today29-06-2023 09:11:41

78 Tweet

3 Followers

21 Following

WASHEHABINYA (@paralegalsnyasa) 's Twitter Profile Photo

Wasaidizi Nchi nzima tukipewa mafunzo ya elimu ya mpiga kura ili tukatoe elimu hiyo kwa jamii wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa,Mafunzo yameendeshwa na TANLAP mjini Dodoma

Wasaidizi Nchi nzima tukipewa mafunzo ya elimu ya mpiga kura ili tukatoe elimu hiyo kwa jamii wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa,Mafunzo yameendeshwa na TANLAP mjini Dodoma
WASHEHABINYA (@paralegalsnyasa) 's Twitter Profile Photo

Ni siku ya pili wasaidizi wa kisheria tukisaini makubaliano ya kufanya kazi na TANLAP ya kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa

Ni siku ya pili wasaidizi wa kisheria tukisaini makubaliano ya kufanya kazi na TANLAP ya kutoa elimu ya mpiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa