Pallaiga,A (@pallaigaa) 's Twitter Profile
Pallaiga,A

@pallaigaa

Human Rights activists, Former Chairperson of CHADEMA youth wing Iringa Region, Secretary of CHADEMA Training Committee Nyasa Zone.

ID: 1275631758239825920

calendar_today24-06-2020 03:29:11

1,1K Tweet

6,6K Followers

3,3K Following

Pallaiga,A (@pallaigaa) 's Twitter Profile Photo

Kwa Muswada huu wa Usalama wa Taifa Mashushushu wanaweza hata kumfungia rais kwenye mojawapo ya vyumba vya ikulu ya Chamwino au Magogoni, wakam-starve kisha wakachukua madaraka yake na kuwaeleza raia kuwa rais hajulikani halipo na wasifanywe kitu au kuwajibishwa na sheria yoyote.