Olvaris Lasway (Mr Drip💧)
@olvarislasway
|#Irrigation services|#Greenhouse installation|
|#Drip irrigation|#fruits seedlings|
Call us: 0626244751
E-mail: [email protected]
Morogoro Tanzania
ID: 1474464806560280584
https://wa.me/message/3K4JI37RGCKHG1 24-12-2021 19:40:16
12,12K Tweet
3,3K Followers
2,2K Following
Post harvesting losses is the real problem 🌱 Wakulima wanavuna mazao mengi Ila Kwa asilimia kubwa, mazao hayo hayatumiwi vizuri kama malighafi. Kama taifa tunahitaji sera na mikakati madhubuti ya kumlinda mkulima na mlaji. Follow us: AGROSTEM COMPANY LIMITED
Ukisoma threads za Fortunatus Buyobe Kuna mambo mengi sana utajifunza kuhusu maisha , hasa namna ya kukabidhiana na mambo , hatari , kesi , kujilinda , kutokuingia mtegoni na kuwa mtu bora zaidi
Brother millardayo hii taarifa inahusiana vipi na Tanzania? Naona magharibi wameanza kukupa posho uchafue nchi nyingine sio! Juzi niliona post yako ya Korea kaskazini, kwamba watoto wanaadhibiwa na kunyanyasika, "sio kweli" North Korea wako civilized zaidi ya nchi yako.