You Tube Updates (@ntwax5) 's Twitter Profile
You Tube Updates

@ntwax5

ID: 1813088314850721792

calendar_today16-07-2024 05:49:06

136 Tweet

230 Followers

2,2K Following

The Economist (@theeconomist) 's Twitter Profile Photo

It is not too late for Tanzania to turn off the ruinous road it is racing down. Register for free to learn why the country’s leader must remember her promises economist.com/leaders/2026/0…

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Leo ni mei mosi, Siku ya wafanyakazi Duniani. Wafanyakazi Watanzania wasio na vyama vya wafanyakazi. Vyama vya wafanyakazi vilivyotakiwa na kutegemewa kusemea mishahara bora, hali za maisha ya wafanyakazi, makazi yao, usafiri, gharama za maisha na hata ajira. Vimegeuka chawa,

CIA (@cia) 's Twitter Profile Photo

Fifteen years ago today (1 May 2011), U.S. Navy SEALs raided a compound in Abbottabad, Pakistan and killed Usama Bin Laden. The raid marked the end of a more than 15-year effort by partners across the Intelligence Community to find Bin Ladin. Learn more: cia.gov/stories/story/…

Fifteen years ago today (1 May 2011), U.S. Navy SEALs raided a compound in Abbottabad, Pakistan and killed Usama Bin Laden. The raid marked the end of a more than 15-year effort by partners across the Intelligence Community to find Bin Ladin.

Learn more: cia.gov/stories/story/…
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Polepole bado yupo mikononi mwa watekaji, wao ndio wanaamua nani aishi, Nani afe, Nani awe uraiani Nani awe Gerezani, ujinga huu hatuwezi kukubali uendelee. Bonyeza #Repost tupate repost 500.

Polepole bado yupo mikononi mwa watekaji, wao ndio wanaamua nani aishi, Nani afe, Nani awe uraiani Nani awe Gerezani, ujinga huu hatuwezi kukubali uendelee.

Bonyeza #Repost tupate repost 500.
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Enzi za serikali halali ya Mwl JKN, kuteuliwa uwaziri zilihitajika sifa haswaa ulizozionyesha katika utendaji kazi na uongozi wako wa awali!. Sasa tupo kwenye enzi za serikali haramu, kigezo kikubwa cha uteuzi ni UCHAWA. Nimeona uteuzi wa mtu aliyesema uchaguzi wa 2025 polisi

Enzi za serikali halali ya Mwl JKN,  kuteuliwa uwaziri zilihitajika sifa haswaa ulizozionyesha katika utendaji kazi na uongozi wako wa awali!. Sasa tupo kwenye enzi za serikali haramu,  kigezo kikubwa cha uteuzi ni UCHAWA. Nimeona uteuzi wa mtu aliyesema uchaguzi wa 2025 polisi
Peter Msigwa (@msigwapeter) 's Twitter Profile Photo

“Much love, my friend—I miss you deeply. You are still one of the finest brains this country has. I’m keeping you in my prayers—may God give you the courage, strength, and resilience to rise above every challenge before you.”

“Much love, my friend—I miss you deeply. You are still one of the finest brains this country has. I’m keeping you in my prayers—may God give you the courage, strength, and resilience to rise above every challenge before you.”
Peter Msigwa (@msigwapeter) 's Twitter Profile Photo

“Nakutakia upendo mwingi, rafiki yangu—nakukumbuka sana. Bado wewe ni miongoni mwa akili bora kabisa ambazo nchi hii inazo. Ninaendelea kukuombea—Mungu akupe ujasiri, nguvu na ustahimilivu wa kushinda changamoto zote zilizo mbele yako.”

“Nakutakia upendo mwingi, rafiki yangu—nakukumbuka sana. Bado wewe ni miongoni mwa akili bora kabisa ambazo nchi hii inazo. Ninaendelea kukuombea—Mungu akupe ujasiri, nguvu na ustahimilivu wa kushinda changamoto zote zilizo mbele yako.”
Edwin Sifuna (@edwinsifuna) 's Twitter Profile Photo

Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki

Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki
N I N J A (@ninja_damour) 's Twitter Profile Photo

1/2 Habari Familia, Mungu ni Mwema baada ya Kuchukuliwa na watu nisiowafahamu Jmosi Asubuhi, niliachiwa kwa dhamana juzi jioni. Shukrani sana kwenu kwa kupiga kelele, kuniombea hata na kupambania kwa kila namna. Hata wale tuliotofautiana kwenye football, Music na itikeli zingine.

MWANAHISABATI (@arthurgeil) 's Twitter Profile Photo

Anza Leo. Usingoje perfect moment anza na uliyonayo. ➮ Nenda Google uka-search: “𝗚𝗢𝗢𝗚𝗟𝗘 𝗗𝗜𝗚𝗜𝗧𝗔𝗟 𝗚𝗔𝗥𝗔𝗚𝗘” ↳ Ingia kwa email yako ↳ Chagua skill yoyote ya digital unayoipenda ↳ Anza course (ziko simple + step by step) ↳ Fanya assignments zote ↳ Ukimaliza

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Tundu Lissu alitaka Wajumbe wa Tume wasiteuliwe na Rais. Alidai kuwepo na Michakato Huru ya kuwapata Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi, ili tuwe na Tume Huru, ya Haki na yeye kuaminika. Je alifanya kosa gani hapo?. Mwachieni aendelee na shughuri zake!!. #FreeTunduLisuu

Tundu Lissu alitaka Wajumbe wa Tume wasiteuliwe na Rais. Alidai kuwepo na Michakato Huru ya kuwapata Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi, ili tuwe na Tume Huru, ya Haki na yeye kuaminika. Je alifanya kosa gani hapo?. Mwachieni aendelee na shughuri zake!!.
#FreeTunduLisuu
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee

“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee

“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee