Edwin Ntabindi (@ntabindiedwin) 's Twitter Profile
Edwin Ntabindi

@ntabindiedwin

🇹🇿Proudly TZ
##Engr👷‍♂️👨‍🔧 & Manager👨🏻‍💼👨🏻‍💼 ⚽️Simba&Arsenal

ID: 1259685388228202501

calendar_today11-05-2020 03:23:14

170 Tweet

381 Followers

878 Following

Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi" Mzumbe Media Group Muso Updates @mzumbeuniversitydcc

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"

<a href="/mzumbe_media/">Mzumbe Media Group</a>
<a href="/muso_updates/">Muso Updates</a>
@mzumbeuniversitydcc
Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari anatoa rai kwa watumishi na wanajumuiya wa mzumbe kushiriki zoezi la kujiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari anatoa rai kwa watumishi na wanajumuiya wa mzumbe kushiriki zoezi la kujiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Mipango, Fedha na Utawala Prof. Allen Mushi tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Mipango, Fedha na Utawala Prof. Allen Mushi tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"
Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi" Mzumbe Media Group Muso Updates @mzumbeuniversitydcc

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha tayari amejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

Kaulimbiu ya Uchaguzi huo ni "Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi"

<a href="/mzumbe_media/">Mzumbe Media Group</a>
<a href="/muso_updates/">Muso Updates</a>
@mzumbeuniversitydcc
Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Bado Siku 01, Jiandikishe sasa kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024. Fika katika Vituo vya kujiandikisha kupiga kura kabla ya tarehe 20 Oktoba 2024.

Bado Siku 01, Jiandikishe sasa kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024.
Fika katika Vituo vya kujiandikisha kupiga kura kabla ya tarehe 20 Oktoba 2024.
Official Mzumbe University (@officialmzumbe) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha atazungumza na Wanafunzi wote Siku ya Jumatano ya Tarehe 30 Oktoba 2024 kuanzia saa 6 mchana katika Ukumbi wa Samora - Kampasi Kuu Morogoro Nyote Mnakaribishwa #tujifunzekwamaendeleoyawatu

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha atazungumza na Wanafunzi wote Siku ya Jumatano ya Tarehe 30 Oktoba 2024 kuanzia saa 6 mchana katika Ukumbi wa Samora - Kampasi Kuu Morogoro

Nyote Mnakaribishwa

#tujifunzekwamaendeleoyawatu
The HR (@kelvinmwitatz) 's Twitter Profile Photo

I have successfully defended my PhD thesis in Human Resource Management at Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology. #PhDone

I have successfully defended my PhD thesis in Human Resource Management at Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology. #PhDone
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Tuna kundi kubwa limemezwa na Propaganda za mataifa ya nje kiasi kwamba wameingiwa na hofu na wanajiona dhaifu. Jeshi letu (TPDF) lipo Imara na lina nguvu kubwa mnoo. Usichukulie poa suala la wewe kulala kila siku bila kusikia mlio wa Risasi wala bomu tambua kuna watu wapo kazini

Tuna kundi kubwa limemezwa na Propaganda za mataifa ya nje kiasi kwamba wameingiwa na hofu na wanajiona dhaifu. Jeshi letu (TPDF) lipo Imara na lina nguvu kubwa mnoo. Usichukulie poa suala la wewe kulala kila siku bila kusikia mlio wa Risasi wala bomu tambua kuna watu wapo kazini
JKT Tanzania (@jkt_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Kila kitu kipo tayari kasoro Yanga 🔰 tu 😅😅 Hawa leo lazima wapigwe Tuambie unasubiri mechi yetu ya leo ukiwa wapi? #WajengaNchi #KichapoChaKizalendo

Kila kitu kipo tayari kasoro Yanga 🔰 tu 
😅😅 Hawa leo lazima wapigwe

Tuambie unasubiri mechi yetu ya leo ukiwa wapi?

#WajengaNchi
#KichapoChaKizalendo
SUMAJKT TANZANIA (@sumajkt) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa kikosi Ruvu JKT Kanali Peter Mnyani anawakaribisha wananchi kutembelea Kitalu cha Wanamapori cha (RUVUJKT Wildlife) ili kufurahia mandhari ya Utalii na kuona wanayama pori walio wapole. Youtube ni SUMAJKT TV.