Nsutusu (@nsutusu) 's Twitter Profile
Nsutusu

@nsutusu

Don't limits your challenges, challenge your limits

ID: 987979969497325568

calendar_today22-04-2018 09:02:35

17,17K Tweet

1,1K Followers

2,2K Following

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Mkusanyiko usio halali kivipi wakati watu walienda nyumbani kwa kiongozi wao. Hii inamaanisha kwanzia sasa wanachadema wote nchini hawana uwezo wa kupokea watanzania wenzao likija swala la kusali JUMUIYA nyumba kwa nyumba. Hili jeshi la polisi linatuonaje watanzania. Hawa

Mkusanyiko usio halali kivipi wakati watu walienda nyumbani kwa kiongozi wao.

Hii inamaanisha kwanzia sasa wanachadema wote nchini hawana uwezo wa kupokea watanzania wenzao likija swala la kusali JUMUIYA nyumba kwa nyumba.

Hili jeshi la polisi linatuonaje watanzania. Hawa
M a n o t i (@madeinmusoma) 's Twitter Profile Photo

Mama alishawahi kusafiri ikabidi mzee ndie atupikie, wali ulipikwa ukiwa umechanganywa na maharage moja kwa moja na ulikuwa mwingi sana tuliula ndani ya siku tatu. Kazi yetu ilikuwa ni kuupasha moto tu 😁😁

Simba Sports Club (@simbasctanzania) 's Twitter Profile Photo

Kazi ya kufata sanduku kwenye kina kirefu cha Bahari ya Hindi haikuwa rahisi lakini kwa ubora wa waogoleaji wetu bora walifanikisha hilo. Muhimu ni kuwa na Simba App au kujiunga Simba Mastori lakini pia kupitia Instagram Subscriptions kuwa wa kwanza kupata habari za usajili.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Njaa kali, hakuna pesa, baridi zito, upwiru mwingi, stress za kutosha, simu haziiti... Hakyamungu, Shetani ametia mkeka wa "both teams to score"😥😔

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Social medias in real life FB: Ni bweni la madogo wa O'level IG: Ni hostel ya 1st year wakiwashangaa 3rd year X: Jumba bovu la graduates wakishavuta bangi JF: majibizano ya kinoko kwenye daladala WhatsApp: Kijiwe cha watu wa FB, IG, X & JF wakijaribu kuvumiliana tabia

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️🚨NG’OMBE WA MAMA MPO?🚨‼️ 😅😅 Jamani kesho kwenye hii hafla mkikubali kusombwa tutawaita tena ng’ombe wa mama! Kwa sasa mtanganyika anayekubali huyu Bi Kizimkazi amtumie lazima azomewe nanatengwe! Huyu mama ametuteka na kutuua, amefunga makanisa nyie mnaenda kufanya nini?

‼️🚨NG’OMBE WA MAMA MPO?🚨‼️
😅😅
Jamani kesho kwenye hii hafla mkikubali kusombwa tutawaita tena ng’ombe wa mama!
Kwa sasa mtanganyika anayekubali huyu Bi Kizimkazi amtumie lazima azomewe nanatengwe! Huyu mama ametuteka na kutuua, amefunga makanisa nyie mnaenda kufanya nini?
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️This artwork is needed‼️ Whoever did this artwork first THANK YOU 🙏🏽 Second, please use even anonymous account and contact me for further action 🔥 Hii inabidi diaspora wote kuitendea haki na kubandika strategically miji mbalimbali! These posters are reportedly posted in

‼️This artwork is needed‼️
Whoever did this artwork first THANK YOU 🙏🏽 Second, please use even anonymous account and contact me for further action 🔥
Hii inabidi diaspora wote kuitendea haki na kubandika strategically miji mbalimbali! 

These posters are reportedly posted in
OG🤎 (@msafwa_og) 's Twitter Profile Photo

Nilikutana na Eliudi Samweli bas akaniuliza dada kwani unatokea mkoa gani Nikamjibu mimi ni wa hapa hapa Mbeya Akasema hapana nakataa mbona sio vitu vyetu hivi nikamuuliza kwann akajibu vitu vyetu tunavijua we sema wewe wa wapi😂 Basi akaja kuamini baada ya mm kuongea kisafwa😂💔

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Press ya Mwalimu John Pambalu inatakiwa ikae hapa watu waone tunavyopikiwa UCHAGUZI MKUU 2025. Naileta Soon…! #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Takwimu hizi zinaonyesha kwamba watanzania wote ambao wanapaswa kujiandikisha wamejiandikisha, takwimu hizi haziwezi kuwa na ukweli." Mhe. John Pambalu Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Kuna watu wamefariki, wengine wamehama nchi, jambo hili linaiondolea Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi linatufanya sisi kama Chadema msimamo wetu wa #NoReformsNoElection kuwa na mashiko zaidi kwa sababu za takwimu." Mhe. John Pambalu Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na

Nsutusu (@nsutusu) 's Twitter Profile Photo

Ukitaka kujua kama IQ yako ni kubwa au ni ndogo angalia vitu vinavyokusumbua Ukiona vitu vinavyokusumbua ni vidogo vdogo jua IQ yako ni ya mbuzi.

OG🤎 (@msafwa_og) 's Twitter Profile Photo

Akiii tutafute hela kariakoo kunachosha wazeeee jua lake hapa sura haina Nuru😂💔 Ndo nikae nipumue sasa tangu asubuhi🥹😂💔🙌🏻