CHUGA.BOI (@nick35707174) 's Twitter Profile
CHUGA.BOI

@nick35707174

mcheshi,mpole mkaka flani hivi smart mchapakazi na
najikubali mwenyewe.

ID: 1209035645072617472

calendar_today23-12-2019 08:59:17

330 Tweet

304 Followers

640 Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Hivi hii Twitter baada ya updates ndio imeleta ujinga gani huu!? Hatuwezi ku' RETWEET bila Quotes?? Kuna wengine hawana cha kusema isipokuwa wanataka ujumbe ufike kwa wengine, wana' RETWEET.. Twitter wanafeli sana.. Au ni kwangu pekee???

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

#ZanzibarLivesMatter sioni waswahili tukiumizwa na mambo yanayoendelea Zanzibar. Raia wanakutana na risasi za moto hadharani na tumeamua kubaki kimya tukisubiri hashtag za wamarekani na wazungu na wanaija?? Tuoneshe umoja wetu. #ZanzibarLivesMatter

#ZanzibarLivesMatter sioni waswahili tukiumizwa na mambo yanayoendelea Zanzibar. Raia wanakutana na risasi za moto hadharani na tumeamua kubaki kimya tukisubiri hashtag za wamarekani na wazungu na wanaija?? Tuoneshe umoja wetu. #ZanzibarLivesMatter
CHUGA.BOI (@nick35707174) 's Twitter Profile Photo

Jumapili Tutamuombea na kumpokea Raisi wetu Kanisani ikiwa ibada ya kwanza akiwa katika Taswira Nyingine kabisaa #Niyeye 2020 KARIBU SANA MH.RAIS

CHUGA.BOI (@nick35707174) 's Twitter Profile Photo

Huu uchaguzi Trump angekua na mahusiano mazuri na JPM aseee angeshinda kwa kishindo sanaaa hadi wamarekani washangae maana izo mbinu.......

Kichomi Inc. (@kichomijr) 's Twitter Profile Photo

YANGA ushindi Lazima YANGA ushindi Lazima YANGA ushindi Lazima YANGA ushindi Lazima YANGA ushindi Lazima YANGA ushindi Lazima

Kigogo Media (@kigogo2014) 's Twitter Profile Photo

Samia huyu huyu 👉Kamfukuza kazi Kamishwa wa TRA 👉Kamfukuza kazi Mkurugenzi wa TPA 👉Kamfukuza kazi PS wa Afya 👉Kamfukuza kazi Bashiru Lakini Samia huyu huyu 👉kamuacha Kingwangala anazurura 👉Jaji Mihayo anazurura 👉Sasa anamtumia Musiba/ Mulaga kufanya propaganda