Ndasha Ndasha (@ndashandas89013) 's Twitter Profile
Ndasha Ndasha

@ndashandas89013

ID: 1823458192426246144

calendar_today13-08-2024 20:35:32

180 Tweet

27 Takipçi

335 Takip Edilen

Hustler👣 (@mrkongajr) 's Twitter Profile Photo

Mjomba kasema “Kuna nafasi haziwezi kufunguka mpaka uvunje hofu yako mwenyewe.” Hofu isikufanye ushindwe kujaribu au kuanza mapambano yako. Good Morning Familia.🌞

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Kijana mwenzangu usidharau mafanikio yako hata kama ni kidogo kiasi gani. Kesho yako kubwa na ya ndoto zako inaanza kujengwa na kidogo ulichonacho sasa. Tena usiruhusu watu wadharau ulichonacho, kwani hawakuwepo wakati unatokwa jasho kukitafuta. Pambana amini kesho yako ni kubwa.

Joachim Mabula (@joachimmabula) 's Twitter Profile Photo

Ukikata tamaa, unaonesha hukuwahi kuwa na nia ya dhati. Komaa, vumilia, pigania mpaka kieleweke — ndoto hazijengwi kwa urahisi bali kwa ujasiri na uthubutu!

Chris Mauki. PhD (@chris_mauki) 's Twitter Profile Photo

Sio kila kufanikiwa "being successful" kutakufanya kuwa wa maana "being significant". Unakuwa wa maana pale unapokuwa na mchango chanya kwenye maisha ya wengine. Wengi tunakiu ya majina makubwa na ukwasi lakini jamii haioni chochote cha maana kwetu. Huo nao ni ulofa #ChrisMauki

Sio kila kufanikiwa "being successful" kutakufanya kuwa wa maana "being significant". Unakuwa wa maana pale unapokuwa na mchango chanya kwenye maisha ya wengine. Wengi tunakiu ya majina makubwa na ukwasi lakini jamii haioni chochote cha maana kwetu. Huo nao ni ulofa #ChrisMauki
Chris Mauki. PhD (@chris_mauki) 's Twitter Profile Photo

Mapito, dhoruba na vikwazo havinabudi kuja na vitasumbua sana ndoa au mahusiano yenu lakini kama mizizi yenu imeenda chini na imeshikana ardhini basi matawi na majani ndio vitatikisika ila shina liko wima. Watadhani hamfiki, mwisho wanatamani kuja mliko #ChrisMauki

Mapito, dhoruba na vikwazo havinabudi kuja na vitasumbua sana ndoa au mahusiano yenu lakini kama mizizi yenu imeenda chini na imeshikana ardhini basi matawi na majani ndio vitatikisika ila shina liko wima. Watadhani hamfiki, mwisho wanatamani kuja mliko #ChrisMauki
Maisha_Halisi (@hassanially1996) 's Twitter Profile Photo

⚠️Hakuna mtu atakufanya uwe na furaha kwenye uso huu wa dunia zaidi ya wewe mwenyewe jipe furaha kadri uwezavyo life is too short.✌️

Jalilu Zaid (@jaliluzaid) 's Twitter Profile Photo

Mwanaume kuna wakati utalazimika kusimama peke yako. Lakini usifanye hivyo kwa sababu ya kiburi au ukaidi. Ikiwa unahitaji msaada, omba msaada. Ukiona mwanaume mwenzio anahitaji msaada. Simama naye. Mtendee vile ambavyo ungetamani kutendewa.

Chris Mauki. PhD (@chris_mauki) 's Twitter Profile Photo

Wengi wetu tuna pupa ya kutaka kubadili mazingira yetu na kuwabadili wanao tuzunguka ila ni ngumu sana sisi kubadilika. Hapo ndipo wengi tunakwama #ChrisMauki

Wengi wetu tuna pupa ya kutaka kubadili mazingira yetu na kuwabadili wanao tuzunguka ila ni ngumu sana sisi kubadilika. Hapo ndipo wengi tunakwama #ChrisMauki
Chris Mauki. PhD (@chris_mauki) 's Twitter Profile Photo

Hao ndugu na marafiki zako wanao kuaminisha kwamba bila wewe hawawezi maisha. Wanakutegemea wewe kwenye kila kitu. Na wewe una stress kila siku kuwawaza wao. Nakwambia siku ukifa bado wataishi fresh tu. Usimfie asiye tayari kujifia #ChrisMauki

Hao ndugu na marafiki zako wanao kuaminisha kwamba bila wewe hawawezi maisha. Wanakutegemea wewe kwenye kila kitu. Na wewe una stress  kila siku kuwawaza wao. Nakwambia siku ukifa bado wataishi fresh tu. Usimfie asiye tayari kujifia #ChrisMauki
KIDEVU (@keydevu) 's Twitter Profile Photo

Wazee na watu unao wadharau wanatembea na maneno yenye baraka na laana,kama huwezi mfanya aongee vizuri basi muache akae kimya!!✍️

zee la vurugu~😂 (@zee_la_vurugu) 's Twitter Profile Photo

USIANZE BIASHARA KAMA HUJUI HAYA MAMBO Mambo 10 Niliyotamani Kujua Mapema Kabla Sijaanza Biashara Shuka nayo 👇🏾 uzi 🧵 1. Biashara sio njia ya haraka kuwa tajiri Inahitaji muda, juhudi na subira kubwa 2. Mauzo hayawezi kuwa makubwa kila siku • lazima uvumilie.

Tazama (@tazamambali) 's Twitter Profile Photo

Mfanyabiashara anayetaka kufanikiwa lazima awe na ujuzi wa kifedha ktk haya: 1. Kuweka kumbukumbu za mapato/matumizi/faida 2. Kupanga matumizi kulingana na mapato 3. Kutofautisha mapato na faida 4. Kuweka akiba na kuwekeza faida 5. Kuelewa gharama za uendeshaji 6. Uelewa wa kodi