Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile
Mzuri Issa

@mzuri_issa

Mzuri Issa - Director of Tanzania Media Women’s Association, Zanzibar (TAMWA -ZNZ), a renowned organization on gender equality trajectory, media and governance.

ID: 1554368473601609733

linkhttp://www.tamwaznz.or.tz calendar_today02-08-2022 07:28:37

168 Tweet

1,1K Takipçi

3,3K Takip Edilen

zaina Abdalla mzee (@mzee_zaina5071) 's Twitter Profile Photo

"Waandishi wa habari ni kioo cha Jamii hivyo tutumie kalamu zetu vzr kwa maslahi mapana ya nchi yetu na jamii kwa ujumla" #UhuruWaHabari

"Waandishi wa habari ni kioo cha Jamii hivyo tutumie kalamu zetu vzr kwa maslahi mapana ya nchi yetu na jamii kwa ujumla" #UhuruWaHabari
Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile Photo

Thank you so much Madame Ambassador. TAMWA Znz is privileged and thrilled too to work with RNE in supporting women leadership trajectory in Zanzibar.

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Amina Masoud kutoka Redio Jamii Mkoano Pemba (katikati) akikabidhiwa zawadi ya mshindi wa jumla na Maryam Juma Sadala, Katibu mkuu kazi na uwezeshaji katika ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji (kushoto), kulia ni mkurugenzi TAMWA ZNZ Dkt. Mzuri Issa #MwanamkeNiKiongozi

Amina Masoud kutoka Redio Jamii Mkoano Pemba (katikati) akikabidhiwa zawadi ya mshindi wa jumla na Maryam Juma Sadala, Katibu mkuu kazi na uwezeshaji katika ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji (kushoto), kulia ni mkurugenzi TAMWA ZNZ Dkt. <a href="/mzuri_issa/">Mzuri Issa</a> 

#MwanamkeNiKiongozi
Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile Photo

Uandishi wa habari wa kuleta masuluhisho unahitajika hasa katika kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi lakini waandishi wanahitaji sheria nzuri kufanya hivyo

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍Usikose kuungana nasi katika Bonanza la #MichezoKwaWote. Njoo tucheze tuimarishe afya zetu na kukuza mashirikiano. Ni kuanzia Julai 20 -28 ambapo michezo mbalimbali itachezwa ikiyashirikisha makundi yote; Watoto, wanawake, vijana, wazee na wenye ulemavu.

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍BONANZA LA GOMBANI PEMBA. Ushiriki wako #MichezoKwaMaendeleo unapata fursa ya kupata uelewa na kuvunja vikwazo kwa makundi maalum hasa wanawake na watu wenye ulemavu kushiriki katika michezo na mazoezi. 📅: Julai 20-28 🏟️: Gombani Pemba Karibu tushiriki #MichezoKwaWote

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

📍BONANZA LA GOMBANI PEMBA Khadija Salum ni mchezaji wa mpira wa Kikapu timu ya Chake Chake Pemba. Akiwa ni mchezaji kijana wa kike anaeleza namna kushiriki michezo kunasaidia kuzifikia fursa mbalimbali. Karibu tushiriki #MichezoKwaWote

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

"Tunaiomba ofisi ya mrajisi wa vyama vya siasa kuandaa ripoti maalumu inayoonesha takwimu sahihi za wagombea wanawake kwenye nafasi za uongozi," Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ. #MwanamkeNiKiongozi National Democratic Institute Ambassador Tone Tinnes

"Tunaiomba ofisi ya mrajisi wa vyama vya siasa kuandaa ripoti maalumu inayoonesha takwimu sahihi za wagombea wanawake kwenye nafasi za uongozi," Dkt. <a href="/mzuri_issa/">Mzuri Issa</a>, Mkurugenzi TAMWA ZNZ. 

#MwanamkeNiKiongozi <a href="/NDI/">National Democratic Institute</a> <a href="/NorAmbTZ/">Ambassador Tone Tinnes</a>
Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile Photo

Our heartfelt appreciation Madame Ambassador for the immense support. We wish you all the best in your future assignments. We also warmly welcome Ambassador Jesper 🙏🙏

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Leo Oktoba 1, 2024 TAMWA-ZNZ imefanya mkutano na wadau wa masuala ya wanawake na uongozi kujadili unyanyasaji wa wanawake mitandaoni. Kwa maoni yako, nini hupelekea wanawake wengi waliotia nia au kugombea nafasi za uongozi kunyanyaswa mitandaoni?

Leo Oktoba 1, 2024 TAMWA-ZNZ imefanya mkutano na wadau wa masuala ya wanawake na uongozi kujadili unyanyasaji wa wanawake mitandaoni. 
Kwa maoni yako, nini hupelekea wanawake wengi waliotia nia au  kugombea nafasi za uongozi kunyanyaswa mitandaoni?
Generation Equality KIZAZI CHENYE USAWA (@genequalitytz) 's Twitter Profile Photo

Still on #generationequality Tanzania commitment making trail. Congratulations! 34 universities have pledged to invest more in actions that promote economic empowerment of women. More soon! Universities hold keys for transforming youth (including girls) into achievers.

Still on #generationequality Tanzania commitment making trail.

Congratulations!  34 universities have pledged to invest more in actions that promote economic empowerment of women. 

More soon!

Universities hold keys for transforming youth (including girls) into achievers.
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Tumezindua rasmi TUZO ZA UWIANO WA KIJINSIA KWA VYOMBO VYA HABARI 2024/2025. Tunawakaribisha waandishi wote kushiriki Tuzo hii yenye lengo la kutambua vyombo vya habari na waandishi wa habari namna vinavyoandika habari za kina kuhusu masuala ya wanawake katika uongozi.

Tumezindua rasmi TUZO ZA UWIANO WA KIJINSIA KWA VYOMBO VYA HABARI 2024/2025.

Tunawakaribisha waandishi wote kushiriki Tuzo hii yenye lengo la kutambua vyombo vya habari na waandishi wa habari namna vinavyoandika habari za kina kuhusu masuala ya wanawake katika uongozi.
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa TAMWA ZNZ Dr. Mzuri Issa akiwa katika mazungumzo ya kubadilishana mawazo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Marianne Young aliyefika Zanzibar kwa ajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali. UK in Tanzania

Mkurugenzi wa TAMWA ZNZ Dr. Mzuri Issa akiwa katika mazungumzo ya kubadilishana mawazo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Marianne Young aliyefika Zanzibar kwa ajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali. <a href="/ukintanzania/">UK in Tanzania</a>
Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile Photo

We expect political parties to take fully fledged gender equality measures to level the playing ground ahead of the next elections #orpptanzania #Election2024 #Norwegian

Mzuri Issa (@mzuri_issa) 's Twitter Profile Photo

Abrahm Lincoln once said, "I want it said of me by those who knew me best, that I always plucked a thistle and planted a flower where I thought a flower would grow.” Dear Nairat!! Congratulations well deserved and you made me very proud.