TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profileg
TAMWA Zanzibar

@TAMWA_Zanzibar

TAMWA Zanzibar is a non-partisan not for profit sharing, non-Governmental professional membership organization. #MwanamkeNiKiongozi #ZuiaUkatiliZanzibar

ID:855043886313594887

linkhttp://www.tamwaznz.or.tz calendar_today20-04-2017 13:02:03

2,9K Tweets

2,3K Followers

2,0K Following

TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Sababu ya kuwa na Mahakama katika nchi ni kusimamia sheria za nchi na sio baadhi ya viongozi au vyombo vingine kusimamia sheria hizo,' Salim Said Mwandishi mkongwe akizungumzia mapungufu sheria za habari.

'Sababu ya kuwa na Mahakama katika nchi ni kusimamia sheria za nchi na sio baadhi ya viongozi au vyombo vingine kusimamia sheria hizo,' Salim Said Mwandishi mkongwe akizungumzia mapungufu sheria za habari. #UhuruWaHabariZanzibar
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Uhuru wa kutoa taarifa na maoni kwa wananchi unachangia kwa kiasi kikubwa kukuza demokrasia na kuleta maendeleo endelevu kwa wote,' Dkt Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA Zanzibar.

'Uhuru wa kutoa taarifa na maoni kwa wananchi unachangia kwa kiasi kikubwa kukuza demokrasia na kuleta maendeleo endelevu kwa wote,' Dkt @mzuri_issa, Mkurugenzi TAMWA Zanzibar. #UhuruWaHabariZanzibar
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Ni muhimu kuwa na sheria rafiki za habari ili kuwawezesha waandishi wa habari kufanya kazi za kuhabarisha umma huku wakizingatia maadili ya uandishi wa habari,' Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA Zanzibar.

'Ni muhimu kuwa na sheria rafiki za habari ili kuwawezesha waandishi wa habari kufanya kazi za kuhabarisha umma huku wakizingatia maadili ya uandishi wa habari,' Dkt. @mzuri_issa, Mkurugenzi TAMWA Zanzibar. #UhuruWaHabariZanzibar
account_circle
HAJI NASSOR MOHAMED(@hajinassor24) 's Twitter Profile Photo

Tunapogusia hoja kuwawezesha wanawake kiuchumi huwa sio ajenda ya wafadhili bali ni mkakati wa jamii na taifa kwa ujumla mimi nimeshaanza wewe je? Haji Nassor mwandishi wa habari za wanawake na watoto Pemba
TAMWA Zanzibar zaina Abdalla mzee 𝐆𝐌𝐝𝐚𝐝𝐢𝐬𝐢 Mzuri ZUHURA JUMA

Tunapogusia hoja kuwawezesha wanawake kiuchumi huwa sio ajenda ya wafadhili bali ni mkakati wa jamii na taifa kwa ujumla mimi nimeshaanza wewe je? Haji Nassor mwandishi wa habari za wanawake na watoto Pemba @TAMWA_Zanzibar @mzee_zaina5071 @GasparyCharlesG @DrMzuri @zuhrajsaid
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Idadi ya Wanawake kwenye mamlaka za uteuzi imeongezeka Zanzibar,'- DKT. MZURI ISSA, mkurugenzi TAMWA ZNZ.

Miongoni mwa mafanikio ya uliotekelezwa na TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na Ambassador Tone Tinnes (2021-2024)

Ni kiongozi gani mwanamke anakuvutia utendaji kazi wake?

'Idadi ya Wanawake kwenye mamlaka za uteuzi imeongezeka Zanzibar,'- DKT. MZURI ISSA, mkurugenzi TAMWA ZNZ. Miongoni mwa mafanikio ya #SWILProject uliotekelezwa na TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na @NorAmbTZ (2021-2024) Ni kiongozi gani mwanamke anakuvutia utendaji kazi wake?
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Waandishi vijana ni vyema kuwa wabunifu na kusoma kwa bidii ili waweze kuandaa na kuzalisha kazi nzuri zenye kuleta athari kwa jamii,' Salim Said, msimamizi na muongozaji wa waandishi vijana (YMF).

'Waandishi vijana ni vyema kuwa wabunifu na kusoma kwa bidii ili waweze kuandaa na kuzalisha kazi nzuri zenye kuleta athari kwa jamii,' Salim Said, msimamizi na muongozaji wa waandishi vijana (YMF). #WekezaKwaWaadhishiVijana
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Mradi wa kuwawezesha waandishi vijana kwa kushirikiana na NEDemocracy ulianza 2022 ukiwa na waandishi 14 na awamu ya pili 24 na jumla ya kazi 269 zimeandikwa kuhusu wanawake na Uongozi,' Hayrat Haji, kaimu mratibu mwezeshaji waandishi katika masuala ya wanawake uongozi Zanzibar

'Mradi wa kuwawezesha waandishi vijana kwa kushirikiana na @NEDemocracy ulianza 2022 ukiwa na waandishi 14 na awamu ya pili 24 na jumla ya kazi 269 zimeandikwa kuhusu wanawake na Uongozi,' Hayrat Haji, kaimu mratibu mwezeshaji waandishi katika masuala ya wanawake uongozi Zanzibar
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Wahariri mnaonekana kufanya kazi nzuri katika kuwasimamia waandishi wachanga na matokeo yameonekana katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari za takwimu kwa wanawake na uongozi ambapo walishinda tuzo nyingi ukilinganisha na wengine,' Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA-ZNZ

'Wahariri mnaonekana kufanya kazi nzuri katika kuwasimamia waandishi wachanga na matokeo yameonekana katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari za takwimu kwa wanawake na uongozi ambapo walishinda tuzo nyingi ukilinganisha na wengine,' Dkt. @mzuri_issa, Mkurugenzi TAMWA-ZNZ
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi TAMWA ZNZ Dkt. Mzuri Issa anafafanua zaidi... 'hatufurahii kuona kwamba watu wanafungwa jela, lakini akikosea mtu na akitumia ule uhuru wake kuharibu uhuru wa mwenziwe afungwe.'

Nini maoni yako?

Mkurugenzi TAMWA ZNZ Dkt. @mzuri_issa anafafanua zaidi... 'hatufurahii kuona kwamba watu wanafungwa jela, lakini akikosea mtu na akitumia ule uhuru wake kuharibu uhuru wa mwenziwe afungwe.' Nini maoni yako? #ZuiaUkatiliZanzibar
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

What you need to know:

After years and years of advocating for the rights of women and girls and being able to put gender equality laws in place, women issues have now come into the public discussion in Zanzibar

Read👉thecitizen.co.tz/tanzania/magaz…

Ambassador Tone Tinnes

What you need to know: After years and years of advocating for the rights of women and girls and being able to put gender equality laws in place, women issues have now come into the public discussion in Zanzibar Read👉thecitizen.co.tz/tanzania/magaz… #MwanamkeNiKiongozi @NorAmbTZ
account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Ikiwa tunaingia katika kipindi cha Sikukuu, tunayo furaha kubwa kuungana na jamii katika sherehe hizi za kipekee. Lakini pamoja na furaha hii, TAMWA ZNZ tunaikumbusha jamii kutosahau majukumu yetu katika kulinda na kuhakikisha usalama wa watoto wetu.

account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

TAMWA, ZNZ urges parents to protect children during Eid.

Recently, we have witnessed an increase in GBV acts, from 1,360 incidents in 2022 to 1,954 incidents in 2023, representing an increase of 43.7%. The report also shows that the majority of the victims are children's.

TAMWA, ZNZ urges parents to protect children during Eid. Recently, we have witnessed an increase in GBV acts, from 1,360 incidents in 2022 to 1,954 incidents in 2023, representing an increase of 43.7%. The report also shows that the majority of the victims are children's.
account_circle