
KINDEGE
@mzeeosward
ID: 1958268031
13-10-2013 07:58:09
81,81K Tweet
14,14K Followers
7,7K Following











Moyo wake Muonekano Utulivu Ustamilivu Huyu ndiye Tuliyepewa Tumlinde Samia Suluhu Anatosha Sana



RAIS SAMIA ATOA WITO WA KUENZI UTAMADUNI KUKABILIANA NA MMONYONYOKO WA MAADILI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu, ametoa wito kwa jamii kuendelea kuuenzi na kuuthamini utamaduni wa Kitanzania ili kukabiliana na changamoto ya mmonyonyoko wa maadili








Mapema leo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri kilicho ongozwa na Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Ikulu, Jijini Dar es Salaam.
