Mpemba Mkojani (@mwambapemba) 's Twitter Profile
Mpemba Mkojani

@mwambapemba

Dar Es Salaam

ID: 1410267158622375943

calendar_today30-06-2021 16:01:27

780 Tweet

671 Takipçi

3,3K Takip Edilen

MaabaraYaSheria (@maabarayasheria) 's Twitter Profile Photo

DONDOO KUHUSU KESI YA JAMHURI dhidi ya BABU SEYA (NGUZA VIKINGs)UBAKAJI NA URAWITI WA WATOTO WADOGO, SHUKA NAYO👇🏿 Babu Seya aka Nguza Vikings alishitakiwa na wanawe watatu ambao ni Johnson Nguza aka Papii Kocha, Nguza Mbangu na Francis Nguza kwa makosa 11 ya kingono na Ubakaji.

DONDOO KUHUSU KESI YA JAMHURI dhidi ya BABU SEYA (NGUZA VIKINGs)UBAKAJI NA URAWITI WA WATOTO WADOGO, SHUKA NAYO👇🏿

Babu Seya aka Nguza Vikings alishitakiwa na wanawe watatu ambao ni Johnson Nguza aka Papii Kocha, Nguza Mbangu na Francis Nguza kwa makosa 11 ya kingono na Ubakaji.
LongaZimale (@longazimale) 's Twitter Profile Photo

Miongoni mwa maneno nisiye penda kuyasikia ni neno “Watoto wa Mitaani” Bila shaka neno hili linaondoa Utu na haki za Watoto tulio waleta bila ridhaa yao.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_SHAURI_LA_UHAINI Part 8 Mheshimiwa Hakimu namwambia Tundu Lissu kwa mujibu wa kifungu cha 263(3) cha mwenendo wa makosa ya jinai. Kinakutaka useme kama una lolote hasa kama unakiri kosa au unakana kosa au utanyamaza au utasema tutakutana nao huko mbele. Anaanza