Taasisi ya Mo Ibrahim (Mo Ibrahim Foundation) imetangaza kuwa haijampata kiongozi yeyote wa Afrika, ambaye alistahili kushinda tuzo ya Taasisi hiyo (Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership) kwa mwaka wa pili mfululizo.
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) WILAYA YA TUKUYU*
*TAARIFA YA KATIZO LA UMEME LA DHARURA LAINI YA TUKUYU MJINI*
Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Tukuyu,Taarifa ya katizo la umeme la… instagram.com/p/CAsr_FMFPth/…
*TAARIFA YA KUOMBA RADHI KWA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME LAINI KUU YA TUKUYU*
Shirika la umeme Tanzania *(TANESCO) wilaya ya Tukuyu* linatoa taarifa ya kuomba radhi Kwa kukosekana umeme
*Maeneo yanayoathirika ni Wilaya yote ya* Rungwe,Busokelo,kyela na ileje
#Taarifabilamipaka
#MagazetiyaLeo
Jumapili Agosti 15, 2021
Usikose kuangalia magazeti yakisomwa kupitia YouTube ya Dar24 Media muda mfupi ujao.
Habari Leo