Maulid Kitenge (@mshambuliaji) 's Twitter Profile
Maulid Kitenge

@mshambuliaji

HEAD OF SPORTS WASAFI FM

ID: 961928330

linkhttp://maulidkitenge.com calendar_today21-11-2012 07:19:36

61,61K Tweet

1,7M Takipçi

368 Takip Edilen

Maulid Kitenge (@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amechukua na kurudisha fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika Ofisi za CCM

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amechukua na kurudisha fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika Ofisi za CCM