Jeff Msangi®
@msangijeff
Comm.Analyst| WR|Businessman | Editor https://t.co/aAdC2d3S1g. Talents. Copywriter| Song Writer #Official Madridista #Yanga #TFC#Raptors Opinions are mine.
ID:20542290
http://bongocelebrity.com 10-02-2009 20:25:11
87,2K Tweets
71,5K Followers
5,5K Following
Ila Police Force TZ mnapaswa kubadilika. Mnakosaje mafuta kwenda kwenye eneo la tukio ila mafuta ya kujaa kwenye misafara ya viongozi yanapatikana?
Je kuna askari atawajibishwa kwa kuacha hii maiti barabarani kwa masaa 4 kisa hawana mafuta?
Mpaka lini mtatumia hii excuse ya mafuta?
Jeff Msangi® Tumekataa rangi iliyotunyonya kisha tumeambiwa tukubali kusevu 200K Kwa mwezi wakati wao wanapeana M11+
Jeff Msangi® nafikiri hawalipwi vizuri so maandalizi hawayapi kipaumbele unlike wenzao wa Gospel ambao ukiacha kipato show ni sehem ya ibada (more of service) IMO🤷♂️
Jeff Msangi® Uhuru kivuli kwani nyuma ya pazia wanaendelea kutawala wao kwa mgongo wa hawa weusi wenzetu. Weusi Watafanya kila wawezalo kuwalinda watawala halisi.
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 Jeff Msangi® Kama hao wanaoperform kwa hilo tamasha la miaka 10 ya EFM hadi macheka , wengine mara broo nakukubali . Nyoosha mikono kama unanikubali tuimbe wote weka mkono hivi 😂😂😂
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 Jeff Msangi® Partly yes, partly no. Kama tunashuhudia msanii anasahau mistari yake mwenyewe, sound inahusikaje hapo?
Kitu kikubwa ni maandalizi. Wasanii wanafanya show kwa mazoea. Overconfidence. Kwamba ukimchukua Zuchu akatumie sound systems wanafanyia Saut Sol, ataua, sio?😂 Niko palee
Jeff Msangi® Wanatumia dk 3 au 5, utasikia kama unanikubali nyoosha mikono juu, juu juu, tuendelee ama tusiendelee? Kunja gumi namna hii shwaaaaa.. hapo vipi? Hapo sawa.. fanya mkono wako hivi, kushoto, kulia, kushoto, kulia 😆😁anakusanya pesa zake anasepa.
Jeff Msangi® Roma anasema SOUND SYSTEM, mimi nasema BOTH: AN ARTIST NA SOUND SYSTEM.
Back in days, Clouds walikuwaga na show moja, WASHA KIDEO. Wasanii wote waloenda, walikuwa wanaumiza. Maandilizi ya wasanii as well as sound system, vilikuwa sawa. Show zilikuwa bomba sana.
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 Jeff Msangi® Wengine pumzi kisoda....mtu unaenda kweny show msanii kila nyimbo 'Tunaimba wote si ndio' ww imba sisi mizuka ikipanda tutaimba bila kuambiwa