Huyu kuna kitu walimfanya gerezani sio bure ๐๐๐
Mkiambiwa somesheni vijana hamsikii!..yaani mtu anashindwa kujua kuwa Rais na watu wake wanaweza kupanda ndege ya abiria wengine!..
Haya ndiyo matatizo watu wanafika ukubwani hata pale airport tu hawajui kukoje kwa ndani ๐