Ahmad Mbonde (@mbondeahmad) 's Twitter Profile
Ahmad Mbonde

@mbondeahmad

Working for GODEX-MAIL

ID: 3057630507

calendar_today24-02-2015 00:25:56

13,13K Tweet

242 Followers

561 Following

#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

“Mawakala wengi sana katika uchaguzi wa Oktoba 28,2020 wameenguliwa siyo kwa sababu wagombea walisema mawakala siyo wa kwao ni kwa taratibu zingine za tume ndiyo zimewaengua”- Warioba #ChaguziHuru #ChangeTanzania youtube.com/watch?v=sM4m2f…

“Mawakala wengi sana  katika uchaguzi wa Oktoba 28,2020 wameenguliwa  siyo kwa sababu wagombea walisema mawakala siyo wa kwao ni kwa taratibu zingine za tume ndiyo zimewaengua”- Warioba #ChaguziHuru #ChangeTanzania youtube.com/watch?v=sM4m2f…
#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

“Kinachotakiwa wakati wa uchaguzi ni kuwa na uhakika kuwa wakala ni kweli ni mwakilishi wa mgombea fulani hilo ndilo la msingi, lakini safari hii mawakala wengi sana wameenguliwa” - Warioba #ChaguziHuru #ChangeTanzania youtube.com/watch?v=sM4m2f…

“Kinachotakiwa wakati wa uchaguzi ni kuwa na uhakika kuwa wakala ni kweli ni mwakilishi wa mgombea fulani hilo ndilo la msingi, lakini safari hii mawakala wengi sana wameenguliwa” - Warioba #ChaguziHuru #ChangeTanzania youtube.com/watch?v=sM4m2f…
#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

Tito ni mhanga wa kukamatwa kabla ya upelelezi wa kosa kukamilika, huu ni utumiaji mbaya wa madaraka. #FreeTitoMagoti #ChangeTanzania

Tito ni mhanga wa kukamatwa kabla ya upelelezi wa kosa kukamilika, huu ni utumiaji mbaya wa madaraka. #FreeTitoMagoti  #ChangeTanzania
John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

“Kwa vyovyote vile hatuwezi kukubali kuwa uchaguzi wa Oktoba 28, 2020 ulikuwa na haki kabisa na tunafanya hivi ili kudumisha amani ya nchi yetu”- Askofu. Dr. Stephen Munga #ChangeTanzania #ChaguziHuru

“Kwa vyovyote vile hatuwezi kukubali kuwa uchaguzi  wa Oktoba 28, 2020 ulikuwa na haki kabisa na tunafanya hivi ili kudumisha amani ya nchi yetu”- Askofu. Dr. Stephen Munga  #ChangeTanzania #ChaguziHuru
John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

"Nilihuzunika sana pale ambapo Viongozi wengi wa dini walikaa kimya wakati Lissu alimiminiwa risasi, lakini zinapokuja Ndege Uwanja wa Taifa, wanavaa misalaba yao mikubwa na maombi mazitomazito" Peter Msigwa Mjumbe wa Kamati Kuu @ChademaTz

"Nilihuzunika sana pale ambapo Viongozi wengi wa dini walikaa kimya wakati Lissu alimiminiwa risasi, lakini zinapokuja Ndege Uwanja wa Taifa, wanavaa misalaba yao mikubwa na maombi mazitomazito" <a href="/MsigwaPeter/">Peter Msigwa</a> Mjumbe wa Kamati Kuu @ChademaTz
#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

Kukamatwa kwa Tito na kuwekwa ndani mwaka mmoja ni ishara ya serikali kutoheshima haki za binadamu na utawala bora. #FreeTitoMagoti #ChangeTanzania

Kukamatwa kwa Tito na kuwekwa ndani mwaka mmoja ni ishara ya serikali kutoheshima haki za binadamu na utawala bora.  #FreeTitoMagoti  #ChangeTanzania
Official Bavicha Taifa (@bavicha_taifa) 's Twitter Profile Photo

#updates Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa @EmmanuelMasonga ameachiliwa na Police Force TZ Iringa baada ya kukamatwa tena na kuhojiwa. Jeshi hilo limemtaka kuripoti tena Jumatatu kama sharti la dhamana linavyomtaka.

#updates 
Katibu wa <a href="/ChademaTz/">Chama cha Demokrasia na Maendeleo</a> Kanda ya Nyasa @EmmanuelMasonga ameachiliwa na <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> Iringa baada ya kukamatwa tena na kuhojiwa. Jeshi hilo limemtaka kuripoti tena Jumatatu kama sharti la dhamana linavyomtaka.
Kumbusho Dawson Kagine (@kumbushodawson) 's Twitter Profile Photo

“Hata ukitawala kama huna ridhaa ya watu huwezi kufurahia utawala kama lengo lako ni kutumikia watu kwahiyo tufurahie kupata uhalali wa kutawala kutoka kwenye mioyo ya watu, na wapiga kura”.-Padre Charles Kitima: #ChangeTanzania #ChaguziHuru

“Hata ukitawala kama huna ridhaa ya watu huwezi kufurahia utawala kama lengo lako ni kutumikia watu kwahiyo tufurahie kupata uhalali wa kutawala kutoka kwenye mioyo ya watu, na wapiga kura”.-Padre Charles Kitima:  #ChangeTanzania #ChaguziHuru
Robert Amsterdam (@robertamsterdam) 's Twitter Profile Photo

Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!

Robert Amsterdam (@robertamsterdam) 's Twitter Profile Photo

All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!

#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

Raia anaposhikiliwa na kuwekwa ndani bila upelelezi kukamilika , gerezani anawekwa kwa vigezo gani kama sio kuvunja haki zao?. #FreeTitoMagoti #ChangeTanzania

Raia anaposhikiliwa na kuwekwa ndani bila upelelezi kukamilika , gerezani anawekwa kwa vigezo gani kama sio kuvunja haki zao?. #FreeTitoMagoti  #ChangeTanzania
Charles Onyango-Obbo (@cobbo3) 's Twitter Profile Photo

It’s war! Ugandan journalist Saif-llah Ashraf Kasirye shot, in critical condition, as police disperse supporters of presidential candidate .BOBI WINE (Robert Kyagulanyi). Over 60 people, mostly opposition supporters, have been killed since November. monitor.co.ug/uganda/news/na…

#ChangeTanzania (@changetanzania) 's Twitter Profile Photo

Tito Magoti ambaye ni Afisa wa LHRC na mwenzake Theodory Giyani wako jela kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambapo mpaka sasa wapo rumande kwani makosa hayo hayana dhamana . #FreeTitoMagoti #ChangeTanzania

Tito Magoti ambaye ni Afisa wa LHRC na mwenzake Theodory Giyani wako jela kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambapo mpaka sasa wapo rumande kwani makosa hayo hayana dhamana . #FreeTitoMagoti  #ChangeTanzania
Wiseman (@wisemanntele) 's Twitter Profile Photo

"The rights of every man are diminished when the rights of one man are threatened" enough is enough #FreeTitoMagoti Now. #Tanzania

"The rights of every man are diminished when the rights of one man are threatened" enough is enough #FreeTitoMagoti Now. #Tanzania