Mayunga George (@mayungageorge5) 's Twitter Profile
Mayunga George

@mayungageorge5

katibu wa siasa na uenezi chama Cha Mapinduzi Mkoa wa SIMIYU.

ID: 1474591021954650113

calendar_today25-12-2021 04:04:56

8 Tweet

48 Followers

331 Following

Mayunga George (@mayungageorge5) 's Twitter Profile Photo

Mh Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkoa wetu wa SIMIYU kwa miezi hii 9,kuanzia March 2021 Hadi Dec 2021 ameleta fedha nyingi za miradi ya maji,hivyo miradi hii lazima iwanufaishe wananchi kwa kupanga bei ya maji rafiki kwa wananchi, lazima tujue maji ni huduma na sio biashara.

Mayunga George (@mayungageorge5) 's Twitter Profile Photo

Tunamshukuru Sana Mh Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha nyingi zaidi ya Bil 20 kwenye Mkoa wetu wa SIMIYU kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ,zahanati ,vituo vya afya nk kupitia miradi hii wananchi wengi wamepata ajira nyingi za mda .

Mayunga George (@mayungageorge5) 's Twitter Profile Photo

Kazi anayoifanya Mh Rais Samia Suluhu Hassan ya kuijenga na kuiunganisha nchi yetu ni kubwa Sana.Niwaombe watanzania wenzangu tumpe ushirikiano Rais wetu ili atufikishe mahara pazuri zaidi.Wachache wanaoharibu Kwenye serikali tuwabaini na tuseme wapi Wamekose ili hatua zichukuliw

Mayunga George (@mayungageorge5) 's Twitter Profile Photo

Nimesikitishwa Sana na taarifa iliyotolewa na John Mrema Kwenye ajali ya Ndege iliyotokea Bukoba.Huwezi kufanya harakati za siasa Kwenye tukio Kama hilo.Watanzania Kwenye watakutathimini uwezo wako na chama chako.