
Ranya
@mayengodr
1. Senior Lecturer, Nelson Mandela - African Institution of Science and Technology; 2. Competence Based Teaching facilitator, Learning Inspire
ID: 354250402
13-08-2011 11:45:49
12,12K Tweet
2,2K Followers
1,1K Following

Nadhani ni wakati sasa wa watumishi wa umma kudai uhuru wa kuchagua mfuko wa bima ya afya. Tunachangia pesa nyingi sana kwa mwezi lakini kila siku hawa NHIF Tanzania wanakuja na masharti ya ajabu ajabu tu kwa wateja!
