МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile
МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality°

@maximilianlb

Catholic|Fond of Philosophy, History, Theology, Science,Football,Chess and Classical music. Quantum_Physics_theorist and a Physics_Biology Teacher.{Χριστιανός}.

ID: 965984561611051008

calendar_today20-02-2018 16:20:41

5,5K Tweet

1,1K Takipçi

407 Takip Edilen

МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

Umoja wa kitaifa hasa kwenye mambo muhimu yanayobeba na kuamua msingi wa dhima jumuishi yenye kuakisi manufaa halisi ya umma, ni muhimu sana kwa usalama wa nchi kuliko jinsi ambavyo wengi wetu mara nyingi hufikiri. Mamlaka yenye mikono SAFI na DHAMIRA njema kwa raia wake hua

Umoja wa kitaifa hasa kwenye mambo muhimu yanayobeba na kuamua msingi wa dhima jumuishi yenye kuakisi manufaa halisi ya umma, ni muhimu sana kwa usalama wa nchi kuliko jinsi ambavyo wengi wetu mara nyingi hufikiri.

Mamlaka yenye mikono SAFI na DHAMIRA njema kwa raia wake hua
МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

Si ajabu kumuona mwizi akimtetea mwizi mwenzake mwenye mamlaka, anayeitumia nguvu aliyopewa kwa dhamana ya uwajibikaji na raia, kuulinda ufisadi na mafisadi ili mkono wake wenye hila uendelee kwenda kinywani. Uwepo wa aina hii ya watu hapa nchini, ni hatari sana kwa taifa

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

#DearNyerere Ulipunguza mshahara wako toka sh 5000 mpaka sh 4000 na ukasisitiza Serikali isikulipie gharama za kuendesha familia yako mfano chakula na ada za watoto wako. Tena Katibu wako alikuwa anapokea mshahara mkubwa kuliko wewe.Tuombee tukumbuke kuwa Utumishi wa Umma ni WITO

#DearNyerere Ulipunguza mshahara wako toka sh 5000 mpaka sh 4000 na ukasisitiza Serikali isikulipie gharama za kuendesha familia yako mfano chakula na ada za watoto wako. Tena Katibu wako alikuwa anapokea mshahara mkubwa kuliko wewe.Tuombee tukumbuke kuwa Utumishi wa Umma ni WITO
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Kanisa katoliki nchini limetoa wito kwa serikali kukaa na kuzungumza na wale wenye mawazo tofauti kuhusu uchaguzi huku likisisitiza wanasiasa na serikali kuzungumza juu ili kuhakikisha utekelezwaji wa haki za watu. Wito huo umetolewa leo Oktoba 14, 2025 na Mwenyekiti wa

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Hawa ni Wafanyakazi wa UBALOZINI (Ubalozi wa Tanzania Marekani) waliolipa watu kutoka MEXICO waonekane kama ni Watanzania na wanamuunga mkono SAMIA. Haya ni matumizi mabaya ya OFISI. Waliposikia watanzania (DIASPORA) wanaenda makao makuu ya IMF nao wakaona waende na watu wao wa

Hawa ni Wafanyakazi wa UBALOZINI (Ubalozi wa Tanzania Marekani) waliolipa watu kutoka MEXICO waonekane kama ni Watanzania na wanamuunga mkono SAMIA.

Haya ni matumizi mabaya ya OFISI.

Waliposikia watanzania (DIASPORA) wanaenda makao makuu ya IMF nao wakaona waende na watu wao wa
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Mnakumbuka ile taarifa kuwa JESHI la wananchi (JWTZ) lipo na wananchi kwenye haya maanadamano? Akatokea yule KIKARAGOSI (Msemaji wa jeshi JWTZ) akasema jeshi halijihusishi na siasa—taarifa yao nzima hakuna mahali walimkataa CAPTEIN TESHA hii ni wazi kuwa ni mwanajeshi wao.

Mnakumbuka ile taarifa kuwa JESHI la wananchi (JWTZ) lipo na wananchi kwenye haya maanadamano?

Akatokea yule KIKARAGOSI (Msemaji wa jeshi JWTZ) akasema jeshi halijihusishi na siasa—taarifa yao nzima hakuna mahali walimkataa CAPTEIN TESHA hii ni wazi kuwa ni mwanajeshi wao.
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

HILDA 'ATEKWA' AKIWA NA MTOTO MDOGO Ndugu Watanzania! Tumearifiwa ya kuwa mwalimu Hilda Mbinda wa Shule ya Msingi mojawapo ya Gairo, Morogoro. Alichukuliwa katika mazingira tatanishi akiwa kwake tarehe 21 Oktoba 2025. Lakini tulipopekua ukurasa wake wa Facebook, tuliona

HILDA 'ATEKWA' AKIWA NA MTOTO MDOGO 

Ndugu Watanzania! Tumearifiwa ya kuwa mwalimu Hilda Mbinda wa Shule ya Msingi mojawapo ya Gairo, Morogoro. Alichukuliwa katika mazingira tatanishi akiwa kwake tarehe 21 Oktoba 2025.

Lakini tulipopekua ukurasa wake wa Facebook, tuliona
МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

"UDONONGO" ni nchi yenye taifa secular lililojengwa juu ya misingi ya KIKATIBA inayoheshimu nadharia ya UHURU jumuishi wa WATU na UTAWALA wa SHERIA. 1. Kwa uhuru huo, katiba ya nchi hiyo imetoa NAFASI HURU kwa wananchi wake kutumia nyama za NG'OMBE, NGURUE, SIMBA, CHUI na MWEWE

"UDONONGO" ni nchi yenye taifa secular lililojengwa juu ya misingi ya KIKATIBA inayoheshimu nadharia ya UHURU jumuishi wa WATU na UTAWALA wa SHERIA.

1. Kwa uhuru huo, katiba ya nchi hiyo imetoa NAFASI HURU kwa wananchi wake kutumia nyama za NG'OMBE, NGURUE, SIMBA, CHUI na MWEWE
МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

1. Hivi kwa mentality hii kuoka kwetu unadhani kuna mwana CCM yoyote atakayevutiwa kuungana nasi kiitikadi kwa kutoshiriki kwenye uchaguzi huu? 2. Kwani wanasiasa wa Upinzani hususan wana CHADEMA wanaopush movement ya #NoReformNoElection wanafanya hivo kwa sababu gani? Je si kwa

МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

Kama taifa tulifanya kosa kubwa sana kuzipa ballyhoo kazi za wasanii WASHENZI na WAPUMBAFU kama huyu. Pasi kuwatambua vyema, tuliwekeza kwa nguvu umaarufu mkubwa kwenye nafsi CHAFU zisizostahili kabisa public engagement ya kiwango cha juu. Queen Darleen besides all other CCM

МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

Hao hao wanafiki wasio TIMAMU wa HEKIMA na AKILI waliofika kukulaki kwa uoga wa nafsi na hofu ya tumbo, ndio pekee watakaojongea katika malango ya vituo vya uchaguzi ili kukuchagua wewe uliye dhalimu kwa kura zao haramu. Wazalendo halisi kamwe hawatokuwa tayari kuiona serikali

МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality° (@maximilianlb) 's Twitter Profile Photo

Mimi binafsi huhukumu uadilifu wa mtu kwa kuupima uthabiti wake dhahiri katika kuisimamia adili ya nafsi yake wakati wa majaribu na changamoto ndogo ndogo tu. Kama umeweza kuifunika lenzi adili ya dhamili yako kwa hofu ya kuipoteza ajira yenye mshahara wa shilingi milioni moja

Mimi binafsi huhukumu uadilifu wa mtu kwa kuupima uthabiti wake dhahiri katika kuisimamia adili ya nafsi yake wakati wa majaribu na changamoto ndogo ndogo tu.

Kama umeweza kuifunika lenzi adili ya dhamili yako kwa hofu ya kuipoteza ajira yenye mshahara wa shilingi milioni moja