WILL
@mamboshowilson
I Fail & I Learn• Determined💪• Wake Up and Live • ⚖ •
ID: 1125713139432087552
07-05-2019 10:45:01
2,2K Tweet
289 Followers
514 Following
Tasnia ya habari ina nafasi muhimu katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. MKupitia kalamu, kamera na sauti zao, wanahabari wanaweza kutoa elimu, kufichua ukatili na kushinikiza uwajibikaji kwa wanaokiuka haki za binadamu. #NationalDialogue #16DaysTanzania2025 pic.x.com/dqXRQnnfDP
Ukatili wa kijinsia unaofanywa kwa kutumia teknolojia unazidi kuwa kikwazo kwa ushiriki wa wanawake katika siasa. Ni wakati wa kutumia sauti zetu kuelimisha na kuhamasisha jamii kupinga aina zote za ukatili huu. #NationalDialogue #16DaysTanzania2025 WiLDAF Tanzania
Wanawake wana haki ya kushiriki katika siasa na uchaguzi bila hofu, vitisho, au mashambulizi ya kimtandao. Teknolojia inapaswa kuwa chombo cha uwezeshaji, si cha ukatili. #NationalDialogue #16DaysTanzania2025 WiLDAF Tanzania
Ukatili wa kijinsia unaofanywa kwa kutumia teknolojia unazidi kuwa kikwazo kwa ushiriki wa wanawake katika siasa. Ni wakati wa kutumia sauti zetu kuelimisha na kuhamasisha jamii kupinga aina zote za ukatili huu. #NationalDialogue #16DaysTanzania2025 WiLDAF Tanzania
Stawi lab ilizaliwa kutokana na experience za Mkurugenzi wa Her Initiative dada Lydia Charles kwani alichoka kuona anaendesha taasisi kwa nguvu kazi ya kujitolea (wafanyakazi wengi walikua volunteers ) akaandika barua ya wazi kwa development partners 1/2 #MiakwaVijana #Stawilab
Mtoto wa kike akiumizwa, taifa zima hujeruhiwa. Lakini akilindwa, taifa hupona. Changia ujenzi wa #MsichanaCentre uweke msingi wa kizazi salama. Kuwa sehemu ya simulizi hii ya mabadiliko: +255 754 251 022 ~ Msichana Initiative #NdotoYaMsichana Msichana Initiative
In 2021,youth led groups championing women’s and girls’ rights filled panels and donor rooms but were missing when resources were shared. Visibility without funding is not support. STAWI Network is breaking that silence. Find out #MiaKwaVijana #StawiLab Her Initiative
Kongamano lilikuwa 🔥🔥🔥. wanawake wa manispaa ya ubungo waliondoka na ujuzi na nyenzo za kuweka biashara zao kwenye mitandao na namna ya kuuza Zaidi. Asante sana Women and Technology Tanzania kwa fursa ya kuwa msema chochote . Digitali kwa Maendeleo
Ufadhili ulipopungua taasisi Iliana kushindana.Lakini #STAWILAB imeonyesha kitu tofauti. ofisi za pamoja Zana za pamoja , Nafasi za pamoja. kushirikiana ili kilichopatikana kitumike kwa manufaa ya wengi #MiaKwaVijana #StawiLab Her Initiative