PRESS YA ASKOFU GWAJIMA AMBAYO TCRA HAWATAKI KUIONA KWENYE MEDIA ZA TANZANIA NIMEKUWEKEA HAPA.
PRESS NZIMA IPO HAPA, WAPASUKE VIZURI.
REPOST KILA MTU AISIKILIZE.
WANAVYOTISHIA VYOMBO VYA HABARI NDIO KAMA WANACHOCHEA ISAMBAE VIZURI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Kwanini EFM wamefuta video hii?
Uchambuzi mzuri kama huu kwanini unafutwa?
Haya muda wa kuisambaza hii video kwa speed umefika.
REPOST 200
TUTAKUWEPO🫵😎
Asante sana Bongo Zozo Kwa kusema ukweli bila kupepesa macho. Haikubaliki na ninarudia haikubaliki kwa Polisi au kikundi chochote kwa jina la Jamhuri kuwafyatulia risasi za moto raia wanaoandamana. Kwamba imefanyika hivyo hilo halikubaliki na wote waliohusika lazima wawajibike.
Mauaji haya ni aibu kwa Taifa lakini uthibitisho kuwa Samia na CCM wanatakiwa kuwajibishwa. Hakuna cha maridhiano au mapendano hapa wote walioagiza ufirauni na ushetani huu lazima wawajibishwe mara Moja.