lastborn
@levodopa01
inducer
ID: 1268627488177037319
04-06-2020 19:35:59
2,2K Tweet
1,1K Followers
924 Following
Bonge la mechi limepigwa Benjamin Mkapa , sio mechi ya โShangazi Kwamjombaโ kama tulivyoambiwa, ni mechi ya Ligi Kuu yenye kuleta heshima ya mpira wa nchi, Simba 2-2 Azam ni fair results! Ligi inapaswa kuwa namna hii, sio watu wanajua leo โmtoto wa mjombaโ anashinda,inakua kweli.
Skiliza Video hii hadi mwisho! Leo nikiwa na kikao kizito na My brother Masoud Kipanya Ni strategy gani ambayo atatumia kuuza magari yake na mauzo yakaenda vizuri dhidi ya magari yanayotengenezwa nje?? Usikose Tarehe 04 April. Jisajili hapa ๐๐พ forms.gle/HXuTtuJFGSzxGVโฆ