KilimoBizTech (@kilimobiznet) 's Twitter Profile
KilimoBizTech

@kilimobiznet

Agribusiness company specialised in extension services, input supply, commodity trading, marketing & consultancy. WhatsApp+255753843321 [email protected]

ID: 3248018709

linkhttp://www.kilimobiztech.co.tz calendar_today12-05-2015 15:31:33

854 Tweet

1,1K Takipçi

1,1K Takip Edilen

Juma Ngomuo (@jumangomuo) 's Twitter Profile Photo

Hasa wale wanaofanya Kilimo Biashara kwenye mnyororo wa thamani wa Kilimo kuanzia uzalishaji, utoaji huduma, uchakataji, uhifadhi, usafirishaji, Kuuza na Kununua pamoja na wale wanafanya biashara katika minyororo inayoendana na Kilimo mf. Mifugo, uvuvi, Utalii, Ubunifu na

Hasa wale wanaofanya Kilimo Biashara kwenye mnyororo wa thamani wa Kilimo kuanzia uzalishaji, utoaji huduma, uchakataji, uhifadhi, usafirishaji, Kuuza na Kununua pamoja na wale wanafanya biashara katika minyororo inayoendana na Kilimo mf. Mifugo, uvuvi, Utalii, Ubunifu na
Food and Agriculture Organization (@fao) 's Twitter Profile Photo

In least-developed countries & low to middle-income countries, drought is still the single greatest cause of agricultural production loss. What’s more, it impacts agriculture almost exclusively. More here 👉 bit.ly/3Bny3c5 #EarthDay #GenerationRestoration

In least-developed countries & low to middle-income countries, drought is still the single greatest cause of agricultural production loss.

What’s more, it impacts agriculture almost exclusively.

More here 👉 bit.ly/3Bny3c5

#EarthDay #GenerationRestoration
LisheMarts (@lishemart) 's Twitter Profile Photo

Je wajua kwamba zaidi ya Uzalishaji na hata kwenye Kuongiza Kutoa huduma za Ugani #VijanaKilimoBiashara NI kwamba kuna Fursa kubwa ikiwemo 1. Ushauri WA Biashara 2. Huduma za Kisheria 3. Brokerag and Data 5. Green economy 7. Usafirishaji 8. E-commerce #BajetiYaWakulima Lucas E. Malembo

Je wajua kwamba zaidi ya Uzalishaji na hata kwenye Kuongiza Kutoa huduma za Ugani #VijanaKilimoBiashara NI kwamba kuna Fursa kubwa ikiwemo
1. Ushauri WA Biashara
2. Huduma za Kisheria
3. Brokerag and Data
5. Green economy
7. Usafirishaji
8. E-commerce #BajetiYaWakulima <a href="/MalemboLE/">Lucas E. Malembo</a>
Gilead Teri (@gileadteri) 's Twitter Profile Photo

Ripoti ya UWEKEZAJI mwezi Januari - Machi 2024 🔥 Lengo letu mwaka huu ni kufikia miradi 1,000 Jan-Mar: Miradi 211 Ripoti kamili 👇

Gilead Teri (@gileadteri) 's Twitter Profile Photo

BREAKING: TIC wins Africa's MOST PROGRESSIVE investment agency 2024 award during World's Annual Investment Meeting (AIM) Innovation, investment surge & reforms were the areas we performed highest among Africa's IPAs. A global testimony to HE President Dr Samia Suluhu leadership

The Pandemic Fund (@pandemic_fund) 's Twitter Profile Photo

Starting Soon! 🚀 Join us for the Pandemic Fund High-level Event at #WHA77. We will hear from key leaders on pandemic prevention and response, including representatives from The White House, WorldBank, World Health Organization (WHO), UNICEF. WATCH LIVE: bit.ly/pandemic-fund-…

Starting Soon! 🚀 Join us for the Pandemic Fund High-level Event at #WHA77. We will hear from key leaders on pandemic prevention and response, including representatives from <a href="/WhiteHouse/">The White House</a>, <a href="/WorldBank/">WorldBank</a>, <a href="/WHO/">World Health Organization (WHO)</a>, <a href="/UNICEF/">UNICEF</a>.

WATCH LIVE: bit.ly/pandemic-fund-…
Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Benki ya Dunia imetoa rasmi makundi ya nchi kwa kiwango cha kipato kati ya mwaka 1983 hadi 2023. Tanzania ipo kwenye kundi la nchi za uchumi wa kati chini na kwa mwenendo wa kiuchumi kuna uwezekano wa kwenda uchumi wa kati juu baada ya mwaka 2030.

SA (@salumawadh) 's Twitter Profile Photo

FURSA ZA BIASHARA AMBAZO HAZIJAFANYIWA KAZI SANA KATIKA SEKTA MBALIMBALI (Zipo baadhi tayari zimeanza) KILIMO NA CHAKULA 1. Uhifadhi wa mazao baada ya kuvuna 2. “Ghost kitchen” - kuwa na jiko bila mgahawa, unapika na kufanya delivery kupitia app. Na jiko linakuwa shared na

FURSA ZA BIASHARA AMBAZO HAZIJAFANYIWA KAZI SANA KATIKA SEKTA MBALIMBALI (Zipo baadhi tayari zimeanza)

KILIMO NA CHAKULA

1. Uhifadhi wa mazao baada ya kuvuna
2. “Ghost kitchen” - kuwa na jiko bila mgahawa, unapika na kufanya delivery kupitia app. Na jiko linakuwa shared na
SA (@salumawadh) 's Twitter Profile Photo

FURSA ZA BIASHARA KATIKA SEKTA MBALIMBALI - PART TWO SEKTA YA UVUVI NA UFUGAJI 1. “Fattening as a service”- unaweka facility na kutoa huduma ya kunenepesha mifugo ya watu. Una charge kwa mfugo. Mteja anaweza ku book online kuleta mifugo yake 2. “GPS tracking tool” kwa mifugo

FURSA ZA BIASHARA KATIKA SEKTA MBALIMBALI - PART TWO

SEKTA YA UVUVI NA UFUGAJI
1. “Fattening as a service”- unaweka facility na kutoa huduma ya kunenepesha mifugo ya watu. Una charge kwa mfugo. Mteja anaweza ku book online kuleta mifugo yake
2. “GPS tracking tool” kwa mifugo
SA (@salumawadh) 's Twitter Profile Photo

Vitu vya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye biashara ya kulima 1. Ardhi - Kufanya tathmini ya udongo kujua nini kinafaa na aina gani ya mbolea kutumia 2. Mbegu - aina za mbegu, tija, namna ya upandaji, na uangalizi 3. Usimamizi wa shamba - huwezi kulima kwa ‘excel’ ukiwa bunju

Vitu vya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye biashara ya kulima

1. Ardhi - Kufanya tathmini ya udongo kujua nini kinafaa na aina gani ya mbolea kutumia
2. Mbegu - aina za mbegu, tija, namna ya upandaji, na uangalizi
3. Usimamizi wa shamba - huwezi kulima kwa ‘excel’ ukiwa bunju