
Mericho kihongosi
@kihongos1
ID: 1262403425255526401
18-05-2020 15:23:58
5,5K Tweet
2,2K Takipçi
1,1K Takip Edilen



Polisi na uhamiaji ni silaha za Samia Kama Brenda Rupia Jonas ana tuhuma za Uchochezi wamezijua akiwa mpakani? Kwa nini kila kiongozi wa CHADEMA akifika mpaka ndipo kuna kuwa na tuhuma za ghafla Hizo Tuhuma nani uziweka kwenye passport bila kuongea na mhusika au taasisi


Jambo TV Ndugu Zangu Police Force TZ mbona nyie mnadeal na CHADEMA peke yake,kwani nyie wenzangu ni CCM ama ni chama gani ,mbona ni kama mko kuikandamiza Chadema Tanzania ? Makalla alitoa taarifa nyingi tu za uongo na hamjawahi kumgusa popote, acheni haya mambo ya kutumikia CCM.












