Juma Ramadhan (@jumaramadhanact) 's Twitter Profile
Juma Ramadhan

@jumaramadhanact

Katibu Mkoa wa Kigoma @ACTwazalendo

ID: 1389655380008054789

calendar_today04-05-2021 18:57:48

4,4K Tweet

3,3K Takipçi

5,5K Takip Edilen

Juma Ramadhan (@jumaramadhanact) 's Twitter Profile Photo

Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Godson John Mmbaga, CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan wamejiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu Ndugu Ado Shaibu leo tarehe 23 Mei 2025.

Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Godson John Mmbaga, CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan wamejiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu Ndugu Ado Shaibu leo tarehe 23 Mei 2025.