Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile
Mswahili Bantu

@jrngojo

News personality
||Cartoonist
||Founder ChEmRi tv || @simulizi255
||Content creator
||The king of shurten guard ๐Ÿ€

#Swalaamah !
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ผ

ID: 1560639580956528641

linkhttps://youtube.com/@simulizi255?si=GuKN3oKxeVz4DF2b calendar_today19-08-2022 14:51:58

2,2K Tweet

1,1K Takipรงi

171 Takip Edilen

Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿงต๐Ž๐”๐“ ๐Ž๐… ๐“๐‡๐„ ๐๐ˆ๐“๐‚๐‡ Mshambuliaji wa Fiorentina,Moise Kean tarehe 16/12 aliachia Albamu yake ya kwanza akiwa kama Rapa๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Albamu hiyo yenye jina la "Chosen" ina track 11 huku track ya kwanza ikiwa ni "I was born a winner" Kando na Moise,unamjua mchezaji gani mwengine?

๐Ÿงต๐Ž๐”๐“ ๐Ž๐… ๐“๐‡๐„ ๐๐ˆ๐“๐‚๐‡
Mshambuliaji wa Fiorentina,Moise Kean tarehe 16/12 aliachia Albamu yake ya kwanza akiwa kama Rapa๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น

Albamu hiyo yenye jina la "Chosen" ina track 11 huku track ya kwanza ikiwa ni "I was born a winner"

Kando na Moise,unamjua mchezaji gani mwengine?
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

Mshambuliaji kinara wa Man City H.Halland Ameongeza mkataba wa miaka Tisa na nusu mpaka 2034,kwa miaka yote akiwa na city amecheza michezo 125 na kufunga mabao 111 Ikumbukwe T.Begiristain director of football wa City amekuwa kinara juu ya kumshawishi halland kubakia city

Mshambuliaji kinara wa Man City H.Halland Ameongeza mkataba wa miaka Tisa na nusu mpaka 2034,kwa miaka yote akiwa na city amecheza michezo 125 na kufunga mabao 111

Ikumbukwe T.Begiristain director of football wa City amekuwa kinara juu ya kumshawishi halland kubakia city
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐Œ'๐ฆ๐จ๐ฆ๐›๐ฐ๐š ๐€๐ญ๐ฎ๐š ๐๐ž๐ฐ๐œ๐š๐ฌ๐ญ๐ฅ๐ž Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mmombwa amejiunga rasmi na Newcastle United Jets inayoshiriki Ligi kuu ya Australia kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu Mmombwa kabla ya kujiunga na Jet alikuwa anaitumikia Macarthur FC๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ

๐Ÿšฆ๐Œ'๐ฆ๐จ๐ฆ๐›๐ฐ๐š ๐€๐ญ๐ฎ๐š ๐๐ž๐ฐ๐œ๐š๐ฌ๐ญ๐ฅ๐ž
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mmombwa amejiunga rasmi na Newcastle United Jets inayoshiriki Ligi kuu ya Australia kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu

Mmombwa kabla ya kujiunga na Jet alikuwa anaitumikia Macarthur FC๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐†๐ฎ๐ฌ๐š ๐€๐œ๐ก๐ข๐š ๐˜๐š๐ญ๐ž๐ฆ๐š ๐๐ฎ๐ง๐ ๐จ Klabu Ya Yanga imefikia makubalino ya kuvunja mkataba na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Sead Ramovich, Taarifa hizo ziliibuka na kuthibitishwa na kurasa mama za klabu hiyo pamoja na kumtangaza Rasmi kocha mkuu mpya Hamdi Miloud

๐Ÿšฆ๐†๐ฎ๐ฌ๐š ๐€๐œ๐ก๐ข๐š ๐˜๐š๐ญ๐ž๐ฆ๐š ๐๐ฎ๐ง๐ ๐จ
Klabu Ya Yanga imefikia makubalino ya kuvunja mkataba na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Sead Ramovich, Taarifa hizo ziliibuka na kuthibitishwa na kurasa mama za klabu hiyo pamoja na kumtangaza Rasmi kocha mkuu mpya Hamdi Miloud
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐‚๐จ๐ง๐Ÿ๐ข๐ซ๐ฆ๐ž๐ Upangwaji wa Ratiba wa Robo Fainali za #CAFCL na #CAFCC zitafanyika Qatar Februari 20,1700hr Ambapo mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika umepangwa kufanyika tarehe 1-2 April na 8-9 April,huku Robo Fainali ya Shirikisho kufanyika tarehe 2 na 9 Aprili

๐Ÿšฆ๐‚๐จ๐ง๐Ÿ๐ข๐ซ๐ฆ๐ž๐
Upangwaji wa Ratiba wa Robo Fainali za #CAFCL na #CAFCC zitafanyika Qatar Februari 20,1700hr

Ambapo mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa  Afrika umepangwa kufanyika tarehe 1-2 April na 8-9 April,huku Robo Fainali ya Shirikisho kufanyika tarehe 2 na 9 Aprili
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐”๐ค๐š๐ ๐ฎ๐ณ๐ข Baada ya ukaguzi wa shirikisho la mpira wa miguu wa barani Afrika [CAF]limeidhinisha uwanja wa Mkapa kutumika kwenye michuano ya Vilabu barani afrika kwa ngazi ya nusu na Robo Fainali Ikiwa Hayo yamebainishwa na kurasa Mama za TFF TANZANIA. #MswahiliBantu

๐Ÿšฆ๐”๐ค๐š๐ ๐ฎ๐ณ๐ข
Baada ya ukaguzi wa shirikisho la mpira wa miguu wa barani  Afrika [CAF]limeidhinisha uwanja wa Mkapa kutumika kwenye michuano ya Vilabu barani afrika kwa ngazi ya nusu na Robo Fainali

Ikiwa Hayo yamebainishwa na kurasa Mama za <a href="/Tanfootball/">TFF TANZANIA</a>.
#MswahiliBantu
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐–ˆ๐–”๐–“๐–‹๐–Ž๐–—๐–’๐–Š๐–‰ klabu ya Brighton wamekamilisha dili la kumsajili winga raia wa uingereza Tom Watson [18] akitokea klabu ya Sunderland inayoshiriki ligi daraja la kwanza Winga huyo kinda atajiunga na Brighton dirisha kubwa la kiangazi ,Soma zaidi instagram.com/p/DH9RnmEOZq0/โ€ฆ

๐Ÿšฆ๐–ˆ๐–”๐–“๐–‹๐–Ž๐–—๐–’๐–Š๐–‰
klabu ya Brighton  wamekamilisha dili la kumsajili winga raia wa uingereza Tom Watson [18] akitokea klabu ya Sunderland inayoshiriki ligi daraja la kwanza 

Winga huyo kinda atajiunga na  Brighton dirisha kubwa la kiangazi ,Soma zaidi instagram.com/p/DH9RnmEOZq0/โ€ฆ
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

#๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ณ๐š๐Œ๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข๐๐š๐ง๐ญ๐ฎ Marcel Malanga,Raia wa Marekani mwenye asili ya Congo aliyekuwa amehukumiwa hukumu ya kifo kutokana na jaribio la kutaka kuipindua serikali iliyo madarakani tarehe 19 mei 2024,Amepata msamaha wa kubatilishwa kwa hukumu ya kifo โ–ถ๏ธ Play ๐Ÿ‘‡

Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

#๐ˆ๐๐…๐จ๐ณ๐š๐Œ๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข๐๐š๐ง๐ญ๐ฎ Mahakama ya kiKatiba nchini Korea Kusini imemfuta Urais Rais Yoon Suk Yeol madarakani kwa ukiukaji wa madaraka yake baada ya kutangaza sheria ya kijeshi, hatua iliyoibua mgogoro mkubwa wa kisiasa....Soma zaidi instagram.com/reel/DIBlRyxIsโ€ฆ

#๐ˆ๐๐…๐จ๐ณ๐š๐Œ๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข๐๐š๐ง๐ญ๐ฎ
Mahakama ya kiKatiba nchini  Korea Kusini imemfuta Urais Rais Yoon Suk Yeol madarakani kwa ukiukaji wa madaraka yake baada ya kutangaza sheria ya kijeshi, hatua iliyoibua mgogoro mkubwa wa kisiasa....Soma zaidi instagram.com/reel/DIBlRyxIsโ€ฆ
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

Safu ya ushambuliaji ya klabu ya Simba ikiongozwa na kibu mfungaji kinara namba mbili mwenye magoli 3 juu ya kinara mwenye magoli 4,Kwa siku ya kesho itakuwa na kibarua dhidi ya Al Masri,Huku ikiwa wapo nyuma kwa jumla ya magoli 2 Je,nani wa kuivusha simba kwenda nusu fainali?

Safu ya ushambuliaji ya klabu ya Simba ikiongozwa na kibu mfungaji kinara namba mbili mwenye magoli 3 juu ya kinara mwenye magoli 4,Kwa siku ya kesho itakuwa na kibarua dhidi ya Al Masri,Huku ikiwa wapo nyuma kwa jumla ya magoli 2

Je,nani wa kuivusha simba kwenda nusu fainali?
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐ŸงตDuniani kote kila inapofika Tarehe 17, April Dunia huanzimisha siku ya mapambano kwa wakulima wadogo huku wakulima wengi ni tabaka la chini ndio linalokumbwa na Unyonyaji Toa maoni yako nini kifanyike Wakulima wadogo wanufaike kiuchumi? Soma Zaidi๐Ÿ‘‡ instagram.com/reel/DIjLOwdt6โ€ฆ

๐ŸงตDuniani kote kila inapofika Tarehe 17, April Dunia huanzimisha siku ya mapambano kwa wakulima wadogo huku wakulima wengi ni tabaka la chini ndio linalokumbwa na Unyonyaji 

Toa maoni yako nini kifanyike Wakulima wadogo wanufaike kiuchumi?
Soma Zaidi๐Ÿ‘‡
instagram.com/reel/DIjLOwdt6โ€ฆ
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐๐ž๐ฐ๐ฌ๐”๐ฉ๐๐š๐ญ๐ž Simanzi imetanda katika Kijiji cha Malembeka, wilayani Bunda mkoani Mara, kufuatia mauaji ya kikatili yaliyomhusisha muuguzi wa zahanati ya kijiji hicho, Zawadi Kazi (31)aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na zaidi instagram.com/reel/DJJsxYGsTโ€ฆ

Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐‰๐ข๐œ๐ก๐จ ๐ฅ๐š ๐–๐ž๐ง๐ ๐ž๐ซ "Penalti iliyosababishwa na Cubarsรญ haikuwa sahihi. Video Ukiicheza kwa slow motion, kila kitu kinaonekana ni kosa. Lakini kwa uhalisia sio penalty ,mpira aliucheza" Nukuu ya mzee Wenger kwa Mwamuzi Szymon Marciniak ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ kutotoa uamuzi sahihi

๐‰๐ข๐œ๐ก๐จ ๐ฅ๐š ๐–๐ž๐ง๐ ๐ž๐ซ
"Penalti  iliyosababishwa na Cubarsรญ haikuwa sahihi. Video Ukiicheza kwa slow motion, kila kitu kinaonekana ni kosa. Lakini kwa uhalisia sio penalty ,mpira aliucheza"

Nukuu ya mzee Wenger kwa Mwamuzi Szymon Marciniak ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ kutotoa uamuzi sahihi
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

Ubora wa makocha na mizania ya viwango vya wachezaji wa timu zote.kwa upande wa Rsb berkane hii ni fainali Yao ya 5 kwenye michuano ya Caf huku simba ni fainali Yao ya 2 Wamekutana ร—2 Berkane 2 Simba 0 Simba 1 berkane 0 inasuburiwa hapo baadae 22:00 historia mpya kuandikwa

Ubora wa makocha na mizania ya viwango vya wachezaji wa timu zote.kwa upande wa Rsb berkane hii ni fainali Yao ya 5 kwenye michuano ya Caf huku simba ni fainali Yao ya 2 

Wamekutana ร—2 
Berkane 2 Simba 0
Simba 1 berkane 0 inasuburiwa hapo baadae 22:00 historia mpya kuandikwa
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐’๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ง๐š ๐๐ซ๐จ๐ฉ๐š๐ ๐š๐ง๐๐š Je,Unaelewa nini kuhusu Propaganda? Kwa tafiti zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Oxford cha nchini Uingereza,imebainika kuwa zaidi ya asilimia 93 ya nchi zote duniani hutumia propaganda kama silaha ya kisiasa ๐Ÿ‘‡ Zaidi::instagram.com/reel/DJwUdfIMTโ€ฆ

Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ๐…๐š๐ข๐ง๐š๐ฅ๐ข Mkondo wa pili wa fainal kati ya Simba Vs Rsb Berkane Rasmi kuchezwa majira ya 10:00 za jioni katika dimba la Aman Zanzibar Hii inatokana na Caf kuanza Branding ya mechi hii kupitia wenye mamalaka ya kuonyesha mchezo huo kupitia Runinga . . . #ChemriYamichezo

๐Ÿšฆ๐…๐š๐ข๐ง๐š๐ฅ๐ข
Mkondo wa pili wa fainal kati ya Simba Vs Rsb Berkane Rasmi kuchezwa majira ya 10:00 za jioni katika dimba la Aman Zanzibar 

Hii inatokana na Caf kuanza Branding ya mechi hii kupitia wenye mamalaka ya kuonyesha mchezo huo kupitia Runinga 
.
.
.
#ChemriYamichezo
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿšฆ ๐‚๐ก๐ž๐ฆ๐ซ๐ข๐˜๐š๐ฆ๐ข๐œ๐ก๐ž๐ณ๐จ Emmanuel Okwi ameeleza mtazamo wake kuelekea fainal "Kwanza naiona mechi itakuwa ngumu kwa upande wa Simba kwa sababu kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wametuzidi ila wachezaji wetu wakijitoa inawezekana'' zaidi:instagram.com/p/DKAtOhsIhER/โ€ฆ

๐Ÿšฆ ๐‚๐ก๐ž๐ฆ๐ซ๐ข๐˜๐š๐ฆ๐ข๐œ๐ก๐ž๐ณ๐จ
Emmanuel Okwi ameeleza mtazamo wake kuelekea fainal 

"Kwanza naiona mechi itakuwa ngumu kwa upande wa Simba kwa sababu kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wametuzidi ila wachezaji wetu wakijitoa inawezekana''
zaidi:instagram.com/p/DKAtOhsIhER/โ€ฆ
Mswahili Bantu (@jrngojo) 's Twitter Profile Photo

#ChemriYamichezo Aliyekuwa mwamuzi wa Ligi Kuu England, Bobby Madley, amevunja ukimya kwa kauli nzito kuhusu Teknolojia ya VAR (Video Assistant Referee), akiiita "joka" ambalo halikupaswa kulelewa. Zaidi soma:instagram.com/p/DKkURmMoOe9/โ€ฆ

#ChemriYamichezo
Aliyekuwa mwamuzi wa Ligi Kuu England, Bobby Madley, amevunja ukimya kwa kauli nzito kuhusu Teknolojia ya VAR (Video Assistant Referee), akiiita "joka" ambalo halikupaswa kulelewa.
Zaidi soma:instagram.com/p/DKkURmMoOe9/โ€ฆ