VANI 3OY (@joseph__vani) 's Twitter Profile
VANI 3OY

@joseph__vani

ID: 748746945410109440

calendar_today01-07-2016 05:15:57

124 Tweet

149 Takipçi

238 Takip Edilen

Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

Tanznaia inatarajia kuongeza chanjo za Uviko 19, kupitia Mpango wa Global VAX unaoungwa mkono na Marekani. Kila mtu apate 🤝 #UjanjaKuchanja #ChanjaOkoaMaisha

Tanznaia inatarajia kuongeza chanjo za Uviko 19, kupitia Mpango wa Global VAX unaoungwa mkono na Marekani.
Kila mtu apate 🤝
#UjanjaKuchanja 
#ChanjaOkoaMaisha
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Mimi Mdude M. Nyagali nasema kuanzia leo ni marufuku askari yoyote wa cheo chochote kuja kunikamata. Kama kuna kesi yoyote ya jinai nimefanya pelekeni mahakamani nitakuja mahakamani mwenyewe kwa wito wa mahakama. Hii ni kwa sababu za kiusalama na kashfa za polisi kuteka watu.

Mimi Mdude M. Nyagali nasema kuanzia leo ni marufuku askari yoyote wa cheo chochote kuja kunikamata. Kama kuna kesi yoyote ya jinai nimefanya pelekeni mahakamani nitakuja mahakamani mwenyewe kwa wito wa mahakama. Hii ni kwa sababu za kiusalama na kashfa za polisi kuteka watu.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

MAFWELE ndie alieniteka na kutaka nife kwa kupigwa Risasi ya kichwa na kutupwa MBUGA YA WANYAMA HUKO MKOANI KATAVI. Watanzania MJUENI KW MAJINA NA SURA. Anaitwa : FAUSTINE MAFWELE. NI KIONGOZI KWENYE JESHI LA POLISI Police Force TZ Repost 200 wana walijue TEKAJI la hapa mjini.

MAFWELE ndie alieniteka na kutaka nife kwa kupigwa Risasi ya kichwa na kutupwa MBUGA YA WANYAMA HUKO MKOANI KATAVI.

Watanzania MJUENI KW MAJINA NA SURA. 

Anaitwa : FAUSTINE MAFWELE.

NI KIONGOZI KWENYE JESHI LA POLISI <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> 

Repost 200 wana walijue TEKAJI la hapa mjini.